Saturday, June 16, 2018

DALILI ZA KUJIJUA KAMA UNA JINI MAHABA.
NA:MAJOR PROPHET DERICDADY
EMAIL:dericglory@gmail.com
0712412170 au 0679008354

1. Kuota unafanya MAPENZI na MTU unayomjua au usiyemjua kwa sura tofauti.
2. Kuota unafanya mapenzi na mnyama.
3. Kuota unanyonyesha au kujifungua mtoto.
4. Kutokudumu kwnye mahusiano kama ndoa au mchumba.
5. Kuwa na hasira za haraka.
6. Kukwama kwa mipango yako.
7. Kupoteza pesa au vitu vya thamani, unaweza ukaweka pesa kwenye walet au mahali salama kabisa kisha ukakuta zimepungua.
8. Kutokuwa na hamu ya mapenz kwa wanawake na wanaume kutokuwa na nguvu za kiume.
9. Kuota umefunga ndoa.
10. Maumivu ya kichwa,mgongo,kiuno na tumbo haswa chini ya kitovu.
11. Kuvulugika siku au kuharibika kwa mimba au kutoshika mimba kabisa.
12. Kuumwa U.T.I isiyoisha inayojirudia.
13. Kutokupenda kabisa mahusiano.
14. Matiti kujaa au kutoa maziwa na hauko mjamzito au unanyonyesha.

UKIJIJUA UNADALILI HIZI JUA JINI MAHABA AU ANZURA ANAKAA NDANI YAKO.MAANA WADADA WENGI HAWAOLEWI KWA SABABU HII,AMA KUVURUGA NDOA.PIGA NAMBA ZILE KWA MSAADA WA MAOMBEZI YA HARAKA.

  UBARIKIWE NA YESU.

No comments:

Post a Comment