Thursday, May 24, 2018

Sheria za Mungu za rohoni na mafanikio


Yaliyomo                             

Utangulizi

1. Je, mkristo anapaswa kufanikiwa?

2. Yesu Krsito- Je, maskini au tajiri?

3. Maagizo ya Mungu ya mafanikio.

4. Njia ya mungu ama njia ya ulimwengu?

5. Mungu anataka tupadilishe nia yetu kwa pesa!

6. Tunawezaje kupadilisha na kuweka upya mawazo yetu?

7. Tazamo la mungu kwa kazi na nidhamu.

8. Tunafuna tunachopanda.

9. Baraka kwa kulipa fungu la kumi.

10. Hatuwezi tukapeana mpaka ikawa mingi mbele za Mungu.

11. Kutoa kwa njia ya kiungu.

12. Sheria za Mungu juu ya kupokea.

13. Sheria za Mungu ya kuweka hazina na rasilimali.

14. Kutumia sheria za Mungu ya mafanikio.

15. Chanzo cha umaskini, umaskini na mataifa yasiyoendelea, kila maskini.

16. Yale bibilia inasema kuhusu pesa.

17. Pesa huathiri tabia na ubinafsi.

18. Maandiko juu ya pesa.

19. Hatua muhimu katika barabara ya umaskini kuingia kwa utele.

Utangulizi
Yote yanaanza ndani ya moyo na akili. Mawazo yako juu ya pesa lazima yabadilike kwanza. Tamaa ya kibinafsi juu ya pesa ambayo unatumia kwa manufaa yako pekee yako itabadilishwa kuwa kupeana na furaha kwa watu wengine-kupeana kwa familia, kwa maskini, kwa kueneza neno kwa njia yeyote ile, fungu la kumi na kupeana kwa nyumba ya Mungu kwa furaha.

Tumia pesa kwa mapendeleo ya Mungu. Wacha Roho Mtakatifu akuongoze lini na wapi utumie pesa zako. Usiweka hazina katika mambo yanayoisha bali weka katika mambo ya milele.

Epuka kununua vitu visivyofaa.

Usitumie pesa kwa kujinufaisha wewe peke yako bali kwa mahitaji.

Tumia pesa kidogo kuliko unachopokea kwa mshahara wako.

Epuka deni.

Ufanisi inahusu sehemu nyingi ya maisha, kifedha, kiroho, kimwili, kiakili, kihisia.

1. Je, wakristo wanapaswa kufanikiwa?

Mungu aliumba mali yote ya ulimwengu. je, aliwaumbia wasioamini, kwa walio na mioyo migumu, watenda dhambi wa kike na wa kiume wanaomlaani yeye, kumkataa na kupinga sheria zake? je, anataka kweli  wafanikiwe na watoto wake wakae bila?  la sivyo. Mungu baba yetu anataka kilichobora kwa wana wake, waumini walozaliwa mara ya bili, wakristo.

Kama baba yetu wa mbinguni alitupatia mwana wake wa pekee. Tayari ametupatia  iliyo bora kabisa na sasa ako tayari kutupatia hiyo yote nyingine. Warumi.8:32 Yeye asiymwachilia mwana wake mwenyewe, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote, atakosaje kutukirimia na mambo yote pamojanaye?

2. Yesu kristo -maskini au tajiri?

Yesu alikuwa maskini?

Hapana!-kwa yeye na kwake vitu vyote vikaumbwa. wakolosai.1:16... vitu vyote vimeumbwa naye kwa ajili yake.

Anamiliki dunia yote na angali anamiliki

2.Wakorintho.8.9. hata ingawa alikuwa tajiri, hata akafanywa maskini ili kupitia kwa     umaskini wake tukafanywa kuwa tajiri.

3.   Maelezo ya Mungu kuhusu pesa.

  Wengi wetu tumepokea Yesu kama mwokozi lakini hatujakubali awe Bwana wa kila sehemu ya maisha yetu.

Baba yetu anataka tusalimishe maisha yetu yote kwake. hataki tuweke familia, pesa raha zetu au                                                                                                                           kitu chochote zaidi yake. Kutoka 20:3. Usiwe na miungu mingine ila mimi.

Sheria ya mungu ya kufanikiwa itatenda kazi kulingana na jinsi tumemweka wa kwanza katika                              masha yetu

Mungu hataki tuangamizwe na tamaa mbaya. ndio sababu anaamrisha apewe nafasi ya                       kwanza. Kila wakati umweke Mungu wa kwanza. Mathayo 6:33 Tafuteni kwanza ufalme wake na haki yake na hayo mengine mtasidishiwa.

4.Njia ya Mungu-au njia ya ulimwengu?

Njia ya ulimwengu- au njia ya Mungu?

Mungu anataka tutubu na kuweka upya mawazo yetu iweze kufikiri njia za Mungu juu ya mafanikio.                                       

Wakristo wanaotaka ufanisi kwa njia ya ulimwengu, mwishowe watamalizia katika ''theologia ya mafanikio.''

Wakristo wanaotaka mafanikio kwa njia ya kimungu wataheshimu Mungu kwa mali zao.

Ni muhimu sana tuelewe wazo hili, ya kwamba fedha, na dhahabu katika ulimwengu huu ni ya                            Mungu, na sisi hatuna chochote chetu, Mungu ameturuhusu tuzitumie.

Hagai. 2:8 fedha ni yangu na dhahabu ni yngu asema bwana wa majeshi

Usiseme: mali yangu ni yangu, nizipata mwenyewe.”kwa sababu mungu anasema katika kumbu la torati.8:17-18 na unasema katika moyo wako: nguvu yangu na na uwezo wa mikono yangu imenipatia hii mali. v18: lakini utamkumbuka baba mungu wako, kwa sababu ni yeye akupaye nguvu ya kutafuta mali. ili atimize ahadi yake kwa mababu wanu.

Njia ya ulimwengu ya kupata utajiri ni kwa kutegemea nguvu zangu mwenyewe. njia ya mungu ni kumtumainia.

Marko.10:24 vile ilvyongumu kwa wanao amini kwa mali zao kuingia katika.

Neno la muhimu hapa ni uamini katika mali”badala ya kuamini katika bwana. yule kijana tajiri alipenda (amini) sana pesa zake kuliko kumpenda(amini) mungu.

Sheria ya mungu kuhusu mafanikio inatuhitaji tumtumainie yeye badala ya kumtumainia utajiri.

Nji za mungu ziko kinyume na njia za kiduni. badala ya kuamini katika mali ya kidunia baba yetu anatsks tumwamini  yeye na ktumia kile tunacho na watu wengine.

Timotheo. 6:17-18 wahukumu wale walio na mali katika dunia, wasijiwazie kuwa juu na wala wasiamini katika mali isiyoeleweka, lakini kumwamini mungu aiishiye na kupeana kila kitu kwa wingi ili mpate kuzifurahia ili zitende mema na pia watende kazi nzuri tayari kupeana....

Muhubiri 5:13 kuna roho chafu mbaya nimeona chini ya jua, kwa majina mali inayowekwa na wenyewe ili kuwadhuru wenyewe.

Kusanya pesa ni mbaya na mwishowe itatudhuru

Pia kuiba ni mbaya, kuiba chakula, mafuta, pesa na kadhalika. hii inaonyesha uoga wetu na ya kwmba hatmwani mungu.

Sheria ya mungu ya kufanikiwa itatunyesha wazi jinsi ya kufaidika wakati wa shida ya kiuchumi.

Isaya 48:17 mimi ni mungu baba yenu nikufundishaye kufaidika....

Sasa ni wakati wa kuacha njia zakitambo za kuamini katika mabenki, akiba za kufaidika, mashamba, pesa za uzeeni, mipango za kufaidika, akiba za wakati wa shida, na kadhalika. na aanza kufanya hivyo kwa njia ya kimungu na kufwata maagizo zake za kufwata ili uendele.

Utajiri unaopatikana kwa njia ya kiulimwengu haitoshelezi zaidi zaidi tunavyopata ndio zaidi tunahitaji.

Muhubiri 5:10 yule apendaye dheluji hawezi akatosheka na dheluji, pia yule apendaye kwa wingi na kuongezeka, hii yote haina maana.

Mungu anataka tupadilishe nia yetu juu ya pesa na kuweka upya mawazo yetu.

Mungu anataka tuwaze katika njia zake kwa mambo yanayo husu pesa.

Tunawezaje kubadilisha na kuweka upya mawazo yetu

Sheria ya Mungu ya upya: soma bibilia, fikiri na kuomba, kuwa na imani, kutubu dhambi na kufuata maagizo ya Roho Mtakatifu na neno la Mungu.

Mtazamo wa Mungu kwa kazi na nidhamu.

Mungu anataka tufanye kazi na kutenda vizuri.

Mojawapo ya matunda ya roho mtakatifu ni nidhanu. mtu lazima ajifunze kuwa na nidhamu katika kutumia pesa. si lazimatuishi kaika maisha ya kuharibu ati kwa sababu sisi ni wakristo na tuko na baba tajiri kabisa.

Tunavuna tunachopanda.

Ufanisi kuhusiana na kupanda na kuvuna- mbegu ya kawaida-upenda-imani-pesa-wema.

Urafiki-elimu-hekima. sheria ya kupanda nakuvuna inafanya kazi katika kila sehemu ya maisha yetu.

Panda mbegu yako nzuri ya pesa kwa udongo nzuri, ndiyo katika kazi ya umishnari kwa walio maskini.

Wagalatia 6:7.... chochote apandacho mtu ndicho atakachovuna.

Mshangao, watu wanatarajia kuvuna pes mingi bila hata kupanda mbegu kidogo. wanafikiria maombi inatosha, lakini hii ni kuvunja sheria ya Mungu. ukitaka kuvuna pesa ni lazima upande pesa, sio maombi katika hali hii. ukitaka kuvuna pesa nyingi ni lazima upande pesanyingi, sio kuomba sana pesa. tunastahili kuombea sana waliopotea kiroho na wanaohitaji. hii ni njia rahisi sana ya kutengeneza pesa, peana pesa na furaha, vile Roho Mtakatifu inakuongoza. tafuta mwelekeo wake na utvuna mbegu yako ya pesa mahali pafaayo na wakati ufaayo, na kiwango kifaacho.

Kumbuka pia kupanda: upndo-uzuri-pia neno la Mungu-mbegu zote nzuri.

Panda mbegu yako ya pesa kwa umishonari, katika kanisa, kwamaskini, kwa famili yako na kadhalika.

Baraka ya kutoa fungu la kumi.

Hakuna amri wazi katika agano. jipya juu ya fungu la kumi.

Mungu anakubali tumjaribu anaahidi baraka tele tukifanya hivyo.

Malaki 3:10 leteni zaka ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha.

Mungu anatujaribu tumhakikishe. hapo ndio mahali papekee katika bibilia ampabo anatujaribu tumhakikishe.

Tunamheshimu Mungu kwa kutoa asilia kumi ya mapato yetu.

Ni vigumu Mungu kubariki watoto wake ikiwa tutamwibia fungu la kumi bibilia intuambia sehemu kumi ni yake.

Unachopeana kama zawadi kwa ajili ya kusudi spesheli sio fungu la kumi lakini hupeana kando na fungu la kumi.

Nyumbani mwangu inaamrisha kuleta fungu lako la kumi katika kanisa lako la nyumbani.

Ushuhuda.: wakati ule nilikuwanina hubiri katika kanisa, rafiki wangu mwema  alikuja na agizo la pesa,35,000dkr. hii pesa nyingi ambayo alitaka kupatia kanisa kama mbegu la kupanda. saa hiyo alikuwa hakika katika shida ya kifedha. mwagizaji wake alikuwa amemuhatarisha asifanye hivyo. kama mtu asiyeokoka alidhania pesa hiyo itapotea, na hakuamini katika kutoa  kupanda mbegu ya kiroho na kuvuna biashara. bibila inasema: ünavuna unavyopanda

Hatuwezi tukapeana Mungu zaidi

Matendo ya mitume10:14....na yeye (malaika) akamwambia(cornelio)¨maombi yako na sadaka amemkujia Bwana kama ukumbusho.

Marko 9:41 kwa hiyo yeyote atakayekupa hata maji ya kunywa kwajina langu, kwa sababu wewe ni mali ya kristo, ama kweli nawambieni, hatapoteza kamwe zawadi yake.

Kutoa- njia ya kiungu.

Peana nawe utapewa, kipimokizuri, imefinywa na kutingishwa pamoja, na kupitishwa juu, watu watakupatia kwa maendeleo yako. kwa sababu kipimo ukitumiacho ndio itatumiwa kukupimia. luka 6:38

Sheria ya Mungu juu ya kupokea.

Mungu hupeana kwa njia ambayo haitadhuru nafsi zetu.

James 4:3    hata mwaomba wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya ili mvitumie kwa tamaa zenu.

sheria za Mungu juu ya kuweka hazina na rasilimali.

Matayo. 6:20 Bali jiweekeni hazina binguni,, kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wavi hawavunji wala hawaibi.

Mithali19:17. amhurumia maskini humkopesha bwana: naye atamlipa kwa tendo lake jema.

Kutumia sheria za Mungu juu ya mafanikio

Tafuta maandiko katika biblia juu ya mafanikio- tendo la imani.

Sababu ya umaskini, kutokuendelea na taifa maskini, na watu maskini.

Elimu ya upotovu

Nyumba zilizochafuliwa

Kuabudu miungu aina zote kati utamaduni ya mashariki- utamaduni ya kaskazini

Kuunguzwa na pepo ya tamaa, ulevi, madawa  ya kulevya.

Uzembe.

Kuongezeka kwa  asilimia  ya wakristo wanaotoa ushuhuda ndivyo mali inavyoongezeka na pia utaratibu katika nchi hiyo.  kuongezeka kwa dini na kuabudu miungu ndivyo umaskini na kutokuwa na utaratibu na ufisadi katika nchi hiyo.

Tumaini kwa ajili ya pesa zako.

Uwe na tumaini kwa sheria za Mungu juu ya kupanda na kufuna

Bibilia husema nini kuhusu pesa.

Pesa- na mafunzo ya kikristo, je, wakristo wanastahili kuendelea? soma 2.wakoritntho8:9

Pesa- na kufunga na kuomba na kutoa misaada.(matendo ya mitume 10:4,30) kornelio

Pesa- na imani 2.wakorintho9:10 mbegu ya kupana iongezeke maradufu.

Pesa- na ukweli, luka 16:10-13 hasa v 12

Pesa- na nidhamu mithali 6:9-10

Pesa- na wakati muhubiri11:4 na 6

Pesa- na kupanda na kuvuna wagalatia 6:7, wakorintho wa pili 9:6

Pesa- na mtindo wa ulimwengu kulinganishwa na mtindo wa mbinguni. luka 6:38, mathayo 6:19-20

Pesa- na rasilimali ya benki ya dunia luka 12:21

Pesa na rasilimali katika benki ya dunia mathayo 6:19-20 na mathayo 19:21

Pesa- na faida. mithali 28:8,kutoka 22:25 na kumbukumbu la torati 23:19 (dhambi ya kuchukua faida nyingi)

Pesa- na kupeana ulinzi, hakikisho, ya kufunguliwa. mithali 22:26 na 11:15 na 20:16

Pesa- na fungu la kumi malaki 3:10, luka 11:42, mithali 3:9

Pesa- na sadaka matendo ya mitume 10:4.

Pesa- na kupeanamithali 28:27, wafilipi 4:17-19, luka 6:38.

Pesa- na kumwibia Mungu malaki 3:10

Pesa- na watoto wakorintho zaburi 37:25
Pesa na ulafi zaburi 127:2

Pesa- na kuiba Yohana 12:6 na 1wakorintho 6:10

Pesa- na karata mithali16:33

Pesa- na mwenye haki mithali 15:6

Pesa- na ukweli mithali 21:6

Pesa- na nia nzuri luka 6:35 na luka 6:38 pana na wewe utapewa

Pesa- na hasara ya milele( Judas) mathayo 27:3-5 na Yohana 17:12

Pesa- dhambi kinyume na Roho Mtakatifu matendo ya mitume 5:1-5

Pesa- na waanzilishi (Abrahamu, Yakobo, Ayubu, Daudi na Suleimani)

Pesa- na kubadilika kwa uchumi Mathayo 6:19-21

Pesa- na kazi Mithali 28:19

Pesa- na uzembe Mithali 6:6,9 Mithali24:33-34

Pesa- na kulala sana asubuhi Mithali 6:10, MIthali 24:33-34

Pesa- na deni Mithali 22:7

Pesa- na kupenda sana pesa 1 thimoteo 6:10 na waebrania 13:5

pesa- na utajiri uliofichwa  Isaya 45:3

Pesa- na kuirithi. Mithali 13:22, 19:14, 14:18.

Pesa- na mataifa wanaojiita maskini na matajiri. Ibada ya miungu licha ya asilimia kubwa ya wakristo katika taifa. Kumbukumbu la torati 31:16

Pesa- na yesu alifanywa maskini ili sisi tuwe matajiri. anamiliki ulimwengu mzima- aliziumba pesa zote. wakolosai 1:16

Pesa- na Mungu Yahweh. Hagai 2:8 fedha ni yangu na dhahabu ni yangu...

Pesa- na kusanya kidogo kidogo Mithali 13:11

Pesa- na maafisaa (kodi) Mathayo 22:21, Mariko 12:17, Luka 20:25, Warumi 13:7

Pesa- na kuchochea; kutia moyo. Proverbs 4:4

Pesa- na wivu (kutajirika haraka haraka) Mithali13:11, Mithali 28:22

Pesa na baraka za Mungu. Mithali 10:22

Pesa- na laana za kifamilia.Kutoka 20:5

Pesa- na ahadi zilizovunjwa. Zaburi 15:4. (Anayeapa kwa moyo wake na abadiliki)

Pesa- na mambo ya kwanza. Luka 12:31 tafuteni kwanza ufalme wa Mungu

Pesa na tabia yako. (tabia nzuri inayozalisha inaweza kupokea baraka za mali bila kuadhiri nafsi)

Pesa- na kuridhika (utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa) 1,thimoteo 6:6.

Pesa- na kanisa mwanzo 18: 26 fungo la kumi.

Pesa- na wahudumu 1. timateo 3:3 na tito 1:7

Pesa na mpangilio

Pesa- na ndoa mithali 31:10.

Pesa na kunywa na kulala zaidi mithali 23:20 walevi ............

Pesa- na hakikisho mithali 6:1, 11:15, 17:18, 20:16, 27: 13.

Pesa- na adui wako mithali 25: 21

Pesa na kazi mithali 18: 9, 1.timateo 5;18, mithali 14:23, zaburi 127:2.

Pesa na jinsi ya kuomba Mungu yahweh mithali 19:17.
Pesa na kupokea neno la mungu mathayo 13:23

Pesa na mambo ya kwanza Muhubiri 11:4, na mithali 24:27

Pesa- na mali chini ya laana na chini ya lahana na chini ya baraka.kutoka 28.

Pesa- na viongozi wa kanisa; kuweka pesa za kanisa, na pesa za kibinafsi kuganywa vizuri.yahana 12:6 ............ yuda mweka hazina alikuwa mwizi.

Pesa- na kuanguka kwake shetani Ezekiel 28:4-5.

Pesa- kupenda pesa 1Thimoty 6:10. ......ni chanzo cha maovu yote...


Pesa- visababisho kwa  tabia  na ubinafsi utu.

Mkarimu.

Atoaye kwa furaha.

Mgumu kwa kupeana.

Mchoyo

 Anayejua kutumia pesa vizuri

Mpole na asiyeitisha kwa nguvu.

Mcheza kamari

Mpotevu na mharibivu.

Mwaribivu.

Mwingiliaji

Mwizi

Tamaa ya mwili

 Muuzaji

Mweka hazina

Mkweli

Mpangilio katika mambo yanayohusu pesa.

Mwerevu kwa mambo yanayohusu pesa.

Mpumbavu, kwa mambo ya fedha, asiyejifunzi kwa kukosea.

Anayetamani nguvu

Mpenda nguvu

Kuweka hazina

Kuweka kwa lazima

Akusanyaye vitu

Aliye na nidhamu kwa mambo yanayohusu pesa.

Wewe ni wa aina gani? Uwe mwaminifu kwako mwenyewe. unataka mabadiliko? Jambo nzuri kuihusu: ni kwamba kuna uwezekano wa mabadiliko.  hatua zinazofaa kuchukua ni : kutubu, kuamua mabadiliko na kuifanyia kazi. Maendeleo ama kukuwa nayo, yote inategemea nia. uamuzi wa mwanadamu ni muhimu.

Maandiko juu ya fedha

Kanuni za biashara katika biblia

Jinsi Mkristo anapaswa kuvitumia pesa.

Mithali 22:7 -Tajiri humtawala maskini, naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.

Mithali 23:4 -Usijitaabishe ili kupata utajiri;  acha kuzitegemea hekima akili mwenyewe.

Mithali 23:21 -kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, na utepetevu humvika  mtu nguo tambara.

Mithali 24:27 -Tengeneza kazi yako bila ( nje), na ufanye ikufaye shambani, ukiisha, na badaye ujenge nyumba yako.

Mithali 24:30-31 -Nalipita karibu na shamba la mvivu, na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili. v31 kumbe ! lote pia limemea miiba: uso wake ulifunikwa kwa viwawi; na ukuta wake wa mawe umebomoka.

Mithali 24:33-34 -Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, bado kukunja mikono  upate usingizi!  hivyo umaskini wako huja kama mnyang'anyi, na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.

Mithali 27:23-24 -Fanya bidii kuijua hali ya makundi yako; na kuwaangalia sana ng'ombe zako. v24 kwa maana mali haziwi za milele; na taji je! yadumu tangu kizazi hata kizazi?

Mithali 28:8 -Yeye azidishaye mali yake kwa riba na faida; humkusanyia mtu awahurumiaye maskini.

Mithali 28:19 -Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.

Mithali 28 : 22 - Mwenye husuda afanya haraka kuwa tajiri ;Wala haufikiri uhitaji utakaomjilia.

Mithali 28:27 -Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu ;Bali afichaye macho yake atakuwa na laana             nyingi.

Mithali 30: 8-Uniondolee ubatili na uongo;Usinipe umaskini wala utajiri;Usinilishe chakula kilicho kadiri          yangu.

Mithali 31:10-Mke mwema ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha majirani.

Mhubiri 4:4 -Tena nikafikiri amali zote,na kila kazi ya ustadi ,ya kwamba inatoka katika mtu kupingana na mwenzake .Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo.

Mhubiri 11:4-Mwenye kuuangalia upepo hatapanda; Naye ayatazamaye mawingu hatavuna.

Mhubiri 11:6-Asubuhi panda mbegu zako,Wala jioni usiuzuie mkono wako.
            Kwa maana wewe hujui ni zipi zitakazofanikiwa ,kama ni hii au ni hii .au kama zote zinafaa        sawasawa

Mithali 11:24 Kuna atawanyaye ,lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea     uhitaji.

Malaki 3:10  Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu,mkanijaribu kwa njia           hiyo ,asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni ,na kuwamwagieni baraka , hata isiwepo nafasi ya kutosha ,au la

Warumi 13:7 Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahihiye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima.

Luka 6:38 Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa ;kipimo cha kujaa na kushindiliwa ,na kusukwa-sukwa hata kumwagika ,ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.

Luka 6: 35 Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha msitumaini kupata malipo na thawabu yenu itakuwa nyingi; nanyi mtakuwa wana wa Aliye juu kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasiomshukuru, na waovu.

Mathayo 6:33-Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.

Wakorintho wa pili 9:6 Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba ;Apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.

Wagalatia 6:7 Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho mtu, ndicho atakacho vuna.

Mithali 3: 9 -10 Mheshimu Bwana kwa mali yako.Na kwa malimbuko ya mazao yako yote .Ndipo ghala zako zitakapojazwa kwa wingi,Na mashinikizo yako yatafurika divai mpya.

Mithali 6:6 Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.

Mithali 6:9 Ewe mvivu utalala mpaka lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?

Mithali 8:18 Utajiri na heshima ziko kwangu,Naam, utajiri udumuo ,na haki pia.

Mithali 10:22 Baraka ya Bwana hutajirisha Wala hachanganyi uzuni nayo.

Mithali 13: 11 Mali inayopatikana kwa haraka itapunguka; Bali yeye achumaye kidogo kidogo atazidishiwa.

Mithali 14:23 Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo tu huleta hasara tu.

Mithali 15:6 Katika nyumba ya mwenye haki mna akiba nyingi; Bali mabato ya mtu mbaya huwa taabu tu.

Mithali 16:33 Kura kutupwa katika mikunjo ya nguo; Lakini hakumu zake zote ni za Bwana.

Mithali 17:18  Aliyepungukiwa na ukali hupana mkono wa mtu ;Na kuawa mdhamini mbele ya mwenzake.

Mthali 18: 9 Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharabu.

Mithali 19: 17 Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA Naye atamlipa kwa tendo lake njema.

Mithali 20: 16 Twaa  nguo yake amudhaminiye mgeni; Mtoze rehema aliye mdhamini wa mgeni.

Mithali 21: 6 Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti.

Mithali 3:27 Usiwanyime  watu mema yaliyo haki yao, Ikiwa katika uwezo wa mkono wako kuyatenda.

Waebrania 13:5 Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyo navyo ; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, sitakupungia kabisa ,wala sitakuacha kabisa.

1Timotheo 6:10 Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha ; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi.

2Wakirintho 9:7 Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, wala si kwa lazima ;maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu.

Mithali 25: 21 Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula;Tena akiwa ana kiu ,mpe maji ya kunywa.

Mathayo 6:24 Hakuna mtu  awezaye  kutumikia mambwana wawili;kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharahu huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.

 Zaburi 127:2 Ndipo kinywa chetu kilipojaa kicheko ,Na ulimi wetu kelele za furaha. Ndipo waliposema katika mataifa,Bwana amewatendea mambo makuu.

Mwanzo 3: 19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula,hata utakapoirudia ardhi,ambayo katika hiyo ulitaliwa ;kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.

Timotheo wa kwanza .....kwa maana mfanyi kazi anastahili ujira wake.

Matendo ya mitume 10:4 Kornelio .... sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.

Timotheo wa kwanza 6:6 Walakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa .

Kugharamia deni

Mithali 27:13 Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni;Mtoza rehani aliye mdhamini wa malaya.

Mithali 6:1 -2 Mwanangu,kama umekuwa mdhamini wa rafiki yako,Ikiwa wewe na mgeni mmepana mikono,Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako,Umekamatwa kaw maneno ya kinywa chako.

Mithali 11:15 Amudhaminiye mgeni hakosi ataumia; Achukiaye mambo ya dhamana yu salama.

Mithali 17:18 Aliyepungukiwa na akili hupana mkono wa mtu; Na kuwa mdhamini mbele ya mwenzake.

Jiwekeni katika umilele.

Mathayo 6:19-20 Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo,na wevi huvunja na kuiba;    bali jivukeni hazina mbinguni, kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi.

 Marko 10:29:30 Yesu akasema, Amin, nawaambiyeni, Hakuna mtu aliye acha nyumba, au ndugu waume ,au ndugu wake, ua mama ,au baba, au watoto, au mashamba kwa ajili yangu, na kwa ajili ya injili ila atapewamara mia sasa wakati huu, nyumba,na ndugu waume,na nduguwake,na mama, na watoto,na mashamba,pamoja na udhia; na katika ulimwengu ujao uzima wa milele.

Luka 14:33 Basi, kadhlika kila mmoja wenu asiye acha vyote alivyo navyo,hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Kutoa fungu la kumi katika bibilia.

Mathayo 23:23 Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa kuwa mnalipa zaka za mnanaa na bizari najira, lakini mmeacha mambo makuu ya sheria, yani adili na rehema, na imani; hayo inawapasa kuyafanya wala yale mengine msiyaache.

Malaki 3: 10 Leteni zaka kamili ghalani,ili kiwemo chakula katika nyumba yangu,mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi ;mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni , na kuawmwagieni baraka, hata isiweponafasi ya kutosha ,au la.

Wabrania 7:2 Ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi na vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki ,tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hesabu 18:26 Tena utanena na Walawi, na kuwaambia, Hapo mtakapoitwaa zaka mkononi mwa wana wa Israeli, niliyowapa ninyi kutoka kwao kuwa urithi wenu, ndipo mtakaposongeza sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA katika hiyo, iwe zaka katika hiyo zaka.


Nehemiah 10 ..... Walawi, watwaapo zaka Walawi .nao Walawi wataipandisha zaka ya hizo zaka nyumbani kwa Mungu wetu, katika nyumba ya hazina.

 Fungu la kumi ya Walawi. Fungu la kumi la Haruni.

Kabila ya walawi walichaguliwa na Mungu wahudumu katika hekalu . Walikuwa makuhani .
Swali: Je huduma yako ya kanisa hutoa fungu la kumi?

Jibu liko katika Hesabu 18:26-29 Makuhani Walawi waliamurishwa walipe fungu la kumi kutokana na fungu la kumi ambao watu waliwatolea.

Himizo: Mchungaji na wahuduma na wote ambao kanisa linawalipa mshahara nao wanapaswa walipe fungu la kumi kutoka kwa mshahara wao.
Luka 18:12 Mimi nafunga mara mbili kwa juma;hutoa zaka katika mapato yangu yote.
(Mfarasayo  alilipa fungu la kumi ,mtoza ushuru hakulipa,lakini akahesabiwa haki.)

Luka 12:32-34 Msiogope ,enyi kundi ndogo;kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme. Viuzeni mlivyo navyo, mtoe sadaka . Jifanyieni mifuko isiyochakaa,akiba asiopungua katika mbingu ,mahali pasipokaribia mwivi, wala nondo haharibu. Kwa kuwa hazina yenu ilipo, ndipo itakapo waponya mioyo yenu.

Matendo ya mitume 20:35 Katika mambo yote nimewaonyesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge,na kuyakumbuka maneno ya bwana Yesu jinsi alivyosema mwenyewe ,heri kutoa kuliko kupokea.

 Wefeso 4:28 Mwibaji asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akitenda kazi ilyo nzuri kwa nikono yake mwenyewe,apate kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji.

Wafilipi 4:19 Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachohitaji kwa kadri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo.

Mathayo 6:3 Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wa kuume;

Mathayo 6:1 Angalieni msifanye wemw wenu machoni pa watu, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani ,ili watukuzwe na watu.

Mathayo 5:42 Akuombaye, mpe;naye atakaye kukopa kwako, usimpe kisogo.

Kuiba pesa za kanisa na mwisho kuingia jehenamu kwa sababu ya pesa.

Yuda Iskariote alipotezwa milele kwa sababu ya kupewa pesa na akawa mwizi na msaliti kwa fedha thelathini.

KUHUSU KUCHUKUA FAIDA

Zaburi 15:5 Hakutoa fedha zake apate kula riba,Hakutwaa rushwa amwangamize asiye na hatia.
Mtu atandaye mambo hayo Hataondoshwa milele.

Kutoka22;25 Usikopeshe mtu aliye maskini, katika watu wangu waliopamoja nawe, usiwe kwake mfano wa mwenye kumdai;wala hutamwandikia faida.

Mithali28;8` Yeye azidishaye mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini.
Hazina zilizofichika.

Isaya 45: 3 Nami nitakupa hazina za giza, na mali zilizofichwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni BWANA, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Isreali.

2 Wakorintho 9:10 Na yeye ampaye mbegu mwenye kupanda, na mkate uwe chakula, atawapa mbegu za kupanda na kuzizidisha, naye atayaongeza mazao ya haki yenu;

Isaya 33:6 Nyakati zako zitakua nyakati za kukaa imara ;za wokovu tele na hekima na maarifa ;kumcha BWANA  ni hazina yake ya akiba.

Zaburi 119: 127 Ndiyo maana nimeyapenda maagizo yako, Kuliko dhahabu, naam, dhahabu iliyo safi.

Mhubir 5:10 Apandaye fedha atavuna fedha, Wala apandaye wingi hatashiba maongeo. Hayo pia ni ubatili.

Mhubiri 5: 12 Usingizi wakekibarua ni mtamu, kwamba amekula kingi ;lakini kushiba kwake tajiri hakumwachi kulala usingizi.

Mhubiri 5:13 Kuna na balaa mbaya sana niliyoiona chini ya jua, nayo ni hii, mali alizoziweka mwenyewe kwa kujinyima.

Mhubiri 5:19 Tena, kwa habari za kila mwanadamu,ambaye Mungu amempa mali na ukwasi, akamwezesha kula katika hizo, na kuipokea sehemu yake na kuhifurahia mali yake ;hiyo ndiyo karama ya Mungu.

Mathayo 6:25 Kwa sababu hiyo nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini,wala miili yenu, mvae nini. Maisha je? si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?

Mithali 23:4 Usijitaabishe ili kupata utajiri Acha kuzitegemea akili zako mwenyewe.

Mathayo 6:24 Haku mtu awezaye kutumikia mabwana wawili ;kwa maana atamchukia huyu na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu na kumdharahu huyu .Huwezi kumtumikia Mungu na mali.

1Timotheo 6:10 Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenad fedha, amabayo wengine hali wakiitamani  hiyo wamefarakana na Imani,na kujichoma kwa maumivu mengi.

Kuhusu kulipa ushuru.

Mathayo 22;21na Marko 12;17 na Luka 20:25 Akawaambia ,Basi vya Kaisari mpeni Kaisari, na vya Mungu mpeni Mungu.

Warumi 13:7 Wapeni wote haki zao mtu wa kodi, kodi, mtu wa ushuru, astahili hofu hofu, astahili heshima,heshima.

Luka 16:10-13 Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana huwa mwaminifu lililo kubwa pia . 11, Basi kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakaye wapa amana mali ya kweli.12, Na kama hamkuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe? 13, Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana ama atamchukia huyu na kumpenda huyu, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.

Maandiko zaidi kuhusiana na pesa.

Mithali 22:1 Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi;na nehema kuliko mali na fedha.

Mhubiri 5:10 Apendaye fedha atashiba fedha wala apendaye wingi hatashiba maongeo.

Mhubiri 5:12 Usingizi wake kibarua ni mtamu, kwamba amekula kidogo, au ;au kwamba amekula kingi; lakini kushiba kwake tajiri hakumachi kulala usingizi.

Zaburi 119:127 Ndiyo maana nimeyapenda maagizo yako, kuloko dhahabu, naam, dhahabu iliyo safi.

Mithali 23 :4  Usijitaabishe ili kupata utajiri Achakuzitegemea akkilil zako mwenyewe.

Mathayo 6:24 Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili;kwa maana atmchukia huyu na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu na kumchukia huyu,huwezi kumtumikia Mungu na mali.

19. Hatua muhimu katika Barabara ya kutoka kwa umasikini kuingia utele.

Kuwaza kama mtu aliye na mali.

Badilisha hali yako ya kufikiria juu ya mambo yahusuyo pesa.

Weka upya mawazo yako kwa kusoma neno la Mungu Kujifunza bibilia.

Fanya mabadiliko katika mtindo wa ulimwengu ingie njia za Mungu.

Elewa kanuni za kiungu ya kupanda na kuvuna.

Lipa fungu la kumi kwanza si mwishowe.

Lipa fungu la kumi kwa kanisa lako la nyumbani.

Mpende Yesu zaidi ya pesa zako Yule tajiri mdogo hakupenda Luka 18:23.

Anza kupanda -kwa wingi ama kidogo- haijalishi, lakini panda kila wakati , fanya iwe sehemu ya maisha yako.

Anza kuweka katika hazina ya soko la mbinguni na ufanye kwa furaha.

Jifunze nafasi iliyo sawa juu ya kutoa na kutumia pesa.

Tumia mpango wa mda mrefu. Hakikisha umejiokoa kutokana na laana.

Jifunze jinsi ya kupokea pesa kiutaraji bila kuadhiri nafsi yako.

Uwe na Imani na utumie Imani katika uchumi.
Udhihirisho wa Roho Mtakatifu.

Roho Mtakatifu katika asili ya kihebrania.:RUAH ( hutamkwa kama RUACH ) kumaanisha,hewa inayotembea, pumsi ama pumsi ya UZIMA. RUAH ni sawa na jina la Kiyunani: PHNEUMA.

Roho Mtakatifu ni kama baba na mwana:wa milele, haina kipimo, haikuumbwa, ni Mungu wa kweli na ni bwana, ametoka kwa baba na kutumwa na mwana.


Yaliyomo:

1.         Usawa wa Roho mtakatifu. Majina ya Roho Mtakatifu.

2.         Roho Mtakatifu kama Mungu, utatu wa Mungu.

3.         Roho Mtakatifu kama Mtu.

4.         Roho Mtakatifu, Jukumu na kazi ya Roho Mtakatifu.

5.         Roho Mtakatifu kama mfariji na mwalimu wetu.

6.         Roho Mtakatifu na vipawa tisa vya Roho.

7.         Roho Mtakatifu na makao yake.

8.         Roho Mtakatifu na pingamizi za Roho Mtakatifu.Kuhusunisha Roho mtakatifu.

9.         Ubatizo katika Roho Mtakatifu.

10.     Roho mtakatifu na kanisa.

11.     Roho Mtakatifu na Nguvu,uweza wa kiungu, nguvu za kiungu,afya na msaada wa kiungu, usafirishaji wa kiungu.

12.     Roho mtakatifu na dhambi siyosameheka.

13.     Roho mtakatifu kama mwalimu na mfariji.

14.Roho mtakatifu na kukubali dhambi zako

15.Roho Mtakatifu na huduma.

16.Upako wa Roho Mtakatifu.

17.Ujazo wa Roho Mtakatifu.Kujazwa kwa Roho mtakatifu

18.Roho Mtakatifu na Roho ya uombezi.

19.Roho Mtakatifu na Ufufuo.

20.Roho Mtakatifu na utukufu wa Mungu.( Shekina, Kabod, Gloria).

21.Roho Mtakatifu na matunda ya Roho.

22.Roho Mtakatifu na uhisho kwa mahubiri, Nyimbo na Kuabudu na uimbaji.

23. Roho Mtakatifu na  miujiza(mysticism). Ukweli na uongo.

24.Roho Mtakatifu na uongozi.( Njia saba ya uongozi )

25.Roho Mtakatifu na huisho wa neno la Mungu.

26.Roho mtakatifu na Yesu kama msaliwa wa kwanza na wa pekee wa Mungu Yahweh, baba.

27.Roho Mtakatifu na manabii wa agano la kale.

28.Roho Mtakatifu na hekalu.

29.Roho mtakatifu na ubatizo katika Roho na moto.

30.Roho Mtakatifu na kuubiri injili.

31.Roho Mtakatifu na mwanzo.(Genesis)

32.Roho Mtakatifu na silaha kamili za Mungu.

33.Roho Mtakatifu waweza kukasirishwa.

34.Roho Mtakatifu na Nguvu za Kiungu.

35.Roho Mtakatifu na kuzaliwa mara ya pili.(wokovu)

36.Roho Mtakatifu na roho ya mwanadamu(ki utu)

37.Roho Mtakatifu na umoja wa kweli.

38.Roho mtakatifu na Roho ya maombi.

39.Roho mtakatifu na kuabudu.


1.     USAWA WA ROHO MTAKATIFU. MAJINA YA ROHO MTAKATIFU.

Roho wa Mungu, wa baba, ya mwokozi, ya Kristu, ya mwana, wa ukweli, ya uzima, ya utukufu, ya nguvu, wa ushuhuda, wa maarifa, ya ufunuo, wakili, mfariji, mwalimu, njiwa, moto, nguvu, maji, mafuta, mhuri.

2.     ROHO MTAKATIFU KAMA MUNGU WA KWELI, UTATU WA MUNGU.

a)Tuna batizwa katika JINA la Baba, la Mwana na la Roho Mtakatifu. Mathayo 28:19.Tuna batiswa katika jina la UTATU wa Mungu.
Maandiko yatuonyesha kwamba utu utatu wa Mungu ni MUNGU MMOJA.

b) Mwanzo 1:26, Na tumfanye mtu kwa mfano WETU…….

Katika andiko la kiebrania, hali ya uwingi umetumika.Wote utatu wa Mungu walikuweko katika uumbaji. Yahweh baba, Yeshua Messia na Mungu Roho Mtakatifu.
                     

3.     ROHO MTAKATIFU KAMA MTU:
Tazama pia: Wakili, hunena, Hushuhudia, Anasauti, huzuni, hufu, hushawishi, huongoza, tabia, hufunza,hukumbusha, hufariji. Haya yote ni majina ambayo tunamwuta Roho Mtakatifu kama Mtu.

Katika Yohana 16. Hapa Roho Mtakatifu ametajwa mara nyingi kama YEYE, Mtu wa kiume ( He).


4.     ROHO MTAKATIFU, JUKUMU NA KAZI YA ROHO MTAKATIFU

Jukumu lake ni ku…shawishi, zalisha,fundisha, elekeza,             , wito, shuhudia, boresha tabia, kumbusha, fariji, leta maarifa, takaza, paka, angaza, fanya upya, huisha, batiza, jaza..

Warumi 5:5…


Roho Mtakatifu humwaga upendo wake wa kiungu katika mioyo zetu. Anaumba, anaponya, na anatenda miujiza. Yeye ndiye nguvu utokanao kwa Mungu Yahweh.

Yeye, Roho Mtakatifu, huomba NDANI  yetu na KUPITIA kwetu, HADI kwa Mungu baba.


5.     ROHO MTAKATIFU KAMA MFARIJI NA MWALIMU.
Tazama pia, Kuadhibisha, fundisha, Kumbusha, elekeza, elimisha, Shuhudia, Sadikisha, Huzunishwa, Mfuasi.

Matendo ya mitume 9:31,… na kuongezeka likitiwa moyo na Roho Mtakatifu.

Luka Mtakatifu 12:12,.. Roho Mtakatifu atawafundisheni…..
Yohana 14:26,… lakini Msaidizi, Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisheni kila kitu na kuwakumbusheni yote niliyowaambieni.


                      ROHO MTAKATIFU NA VIPAWA .

  1. Kunena na ndimi

  1. Kutafsiri ndimi

  1. Kipawa cha unabii ( Njia 6 za kuamua unabii )

  1. Neno la Maarifa

  1. Neno la hekima

  1. Kubambanua miroho

  1. Vipawa vya uponyaji

  1. Kipawa cha miujiza

  1. Kipawa cha imani.


Kubatizwa katika Roho Mtakatifu ni mwanzo ya kuhudumu katika vipawa 9 vya Roho Mtakatifu.

Ni : Vipawa 3 vya
-         Kunena kwa Lugha
-         Kipawa cha unabii
-         Kutafsiri ndimi

                Vipawa 3 Ufunuo,
-         Neno la hekima
-         Neno la Maarifa
-         Kubambanua ndimi

                  Vipawa 3 vya Nguvu,
-         Kipawa cha uponyaji
-         Kipawa cha miujiza
-         Kipawa cha Imani.

1. Kunena katika ndimi. Matendo ya Mitume 2:

Wakati mtu anaponena kwa lugha, akili na ufahamu hupumzika.

Roho Mtakatifu anatumia kinywa cha mtu tu, sio bongo au akili ya mtu.

Usemi ni ya kiroho

Kuna aina nyingi za kunena kwa lugha. ( Lugha mbali mbali )


Kusudi ya kunena kwa lugha:

1.      Ni dhihirisho ya kiroho ya kubatizwa katika Roho Mtakatifu ( Matendo ya Mitume 10:46)

  1. Ili mwanadamu aweze kuwasiliana na Mungu Kiroho. ( 1 Wakorintho 14: 2 )

  1. Ili waumini wamtukuze Mungu. ( Matendo ya Mitume 10:46)

  1. Ili itubariki sisi wenye. ( 1 Wakorintho 14:39)

  1. Ili itubariki katika nyimbo katika Roho. ( Wakolosai 3:16)

  1. Ili roho zetu, mbali na mawaso yetu, iweze kuomba. ( 1 Wakorintho 14:14)

  1. Kwamba pamoja na kutafsiriwa kwa lugha, kanisa iweze kuinuliwa. ( 1 Wakorintho 14:12,13,5,26.)

  1. Ndimi ni kama ishara kwa wale wasio amini. ( 1 Wakorintho 14:22)






2. Kutafsiri ndimi ( Lugha )

Kutafsiri  lugha ni katika hali ya kiroho, usemi wa kiajabu.

Inahusika hasa na kunena kwa lugha.

Kuna mashauri machache kuhusu maswali ambayo mara kwa mara inaulizwa:

  1. Kutafsiri ndimi sio sawa na kutafsiri lugha moja hadi lingine. Kutafsiri lugha fulani ni kutafsiri neno kwa neno bali kutafsiri ndimi ni kutoa maana.

      Kutafsiri ndimi yaweza kuwa kupitia picha, maelezo ama kinaganaga.

2.      Asili, vipawa vya kiasili, na elimu na pia utaifa wa mwenye kutafsiri ita adhiri utafsiri bali kipawa sio kwa ajili hiyo ila kwa miujiza.

  1. Wale ambao hunena  kwa ndimi ni bora waombe kwa ajili ya kipawa hiki cha kutafsiri. ( 1 Wakorinto 14:13)

  1. Mtu asitafsiri. ( 1 Wakorinto 14:27)

  1. Kutoa ujumbe kwa lugha mengine na kujitafsiria yaweza kujizoeza.

  1. Andiko yatueleza tusitoe zaidi ya ujumbe tatu katika mkutano moja. ( 1 Wakorinto 14:27 )



3. Unabii.

Kiyunani: profemi=kunena, kutabiri, kubashiri.

Kiyunani:profetes=Mnabii.

Kutoa unabii:Kunena kwa ajili ya mwingine, kuwa msemaji wa Mungu.

Unabii kwa urahisi inatokana na msingi wa kiungu na msemo uliopakwa mafuta.

Kuna tofauti kati ya kipawa cha unabii na huduma ya mnabii.

Mnabii kama afisi hunena kwa miji, mataifa ama dunia nzima. Kipawa cha unabii sana sana hutumika kuhudumia watu na umati.


Kusudi la Unabii.

1.      Unabii ni kunenea watu katika hali ya kiroho. ( 1 Wakorinto 14:3)

  1. Kujenga kanisa – mwili wa waumini. ( 1 Wakorinto 14:4)

  1. Kuinua kanisa ( 1 Wakorinto 14:3) Kuinua haimaanishi kukemea.

  1. Kufariji Kanisa ( 1 Wakorintho 14:3,31)

  1. Iliwaumini wafundishike. ( 1 Wakorintho 14:31)

  1. Kushawishi asiyeamini na kudhiirisha siri za moyo wake. ( 1 Wakorintho 14:24,25)

Maswali zaidi kuhusu matumizi na udhabiti.

A: Tunaamuriwa tutamani hasa kipawa hiki. ( 1 Wakorintho 14:1)

B: Unabii ni kuu kuliko ndimi wakati haijaambatanishwa na utafsiri – ikiwa ujumbe utatafsiriwa,basi zatakuwa vya karama sawa.

C: Ingawa unabii ni wasi kwa kuelewa, sio kunena na ufahamu. Ni Roho wa mungu ananena kupitia mwanadamu.

D: Muumini aweza kupata kipawa cha unabii ( ama yeyote ile) katika ujazo/ ubatizo wa Roho Mtakatifu pamoja na kunena kwa lugha ( Matendo ya Mitume 19:6)

E: Unabii haichukui nafasi ya neno lililoandikwa,

F: Neno la Mungu ni msaada ulioimara, Kila unabii ambao unapinga neno la Mungu twaweza kana, kataa bila hofu.

G: Aliye na kipawa hicho anawajibika kwa utumizi, kutotumia jinsi inavyoitajika, Kufinyilia chini au udhabiti.

H: Roho wa unabii hutii mnabii. ( 1 Wakorintho14:32)

I: Paulo pia alisema; ” Wasizidi watatu wenye kutoa unabii katika mkutano moja. (1 Wakorintho 14:29) na wengine waamue.

J: Ujumbe wa unabii wakati mwingine haiwezi kubainika na kueleweka vizuri. (Mafuta unaotiririka Mwambao ya magharibi ya Norwe)








__________________________________________________________________________
  
Unabii:
Mzee mmoja, Martin Anderson, kutoka kanisa la kipentekote kule Moss, Norwe, alishuhudia unabii huu kule Moss:

Wakati mafuta itatoka bahari za kaskazini na kutoka pwani ya Norwe, mambo yataanza kutendeka na kurudi kwake Yesu Kristu inakaribia.

Wakati haya maneno yalinenwa, watu walisimama kwenye miguu yao na mtu huyo aketi na aache kuongea maneno haya ya upusi, kwamba mafuta inapitishawa juu kwenye pwani ya Norwe. Kwa wakati huo, Ujumbe ulikuwa mgumu kuaminika, hata hivyo, sasa hivi kampuni nyingi za mafuta zinapampu mafuta kupitia pwani ya Norwe na nchi ya Norwe sasa inaongoza kwa kusafirisha mafuta duniani baada ya Saudi arabia

K: Inahitaji imani kutabiri.(.... Mwenye kipaji cha unabii na akitumie kadiri ya imani yake. Warumi 12:6)

Usitafute habari kuhusu maisha yako ya baadaye kwenye yafuatayo:

-         Horoscopes, Mpigaramli, Mwaguzi, Vyeti, Vyeti vya Tarot nk.


4. Neno la maarifa.

Neno la maarifa ni ufunuo wa Roho Mtakatifu kuhusu manbo fulani katika akili ya Mungu.

Sio kipawa vokal, ni kipawa cha ufunuo. Inakuwa vokal wakati inashirikishwa kwa wengine.

Ni kipande cha maarifa ya kiungu. Neno la maarifa inahusu yaliyopita ama wakati huu, haihusiki na wakati ujao/ usoni kama vile neno la hekima hufanya.


Kusudi la Kiungu:

1.      Kukanya mfalme kuhusu mpango wa adui ya kuharibu.

  1. Kuangaza na kutia moyo mtumishi wa Mungu aliyevunjika moyo.(1Wafalme 19:14-18)

  1. Kufichua mnafiki. ( 2 Wafalme 5:20-27)

  1. Kushawishi mwenye dhambi kuhusu haja ya mwokozi. ( Yohana 6:18,19,29.)

  1. Kutambua mtu aliyejificha. ( 1 Samwel 10:22)

  1. Kuonyesha mtu aliye na hitaji. ( Matendo ya mitume 9:11)

  1. Kubukua ufisadi kanisani.

  1. Kuonyesha mahali panapo stahili pa kukutania watu wa Mungu. ( Mariko 14:34-37)

  1. Kujua mawazo ya wanadamu.( Yohana 2:24) ( 1 Samuel 9:19).

  1. Neno la maarifa inaweza kusaidia sana katika maombi kamili kwa aidha mtumishi wa Mungu aliye katika dhiki ama wale ambao wanahitaji usaidizi wa Kiroho. ( Mmishinari anayekufa katika kijiji cha Afrika).

  1. Kupfidia watu waliopotea au rasilimali.

  1. Kutambua chanzo cha magonjwa a kupagawa.


5. Neno la Hekima

Ni hekima ya Mungu sio la Mwanadamu.

Neno la hekima laweza kuwasilishwa kupitia sauti ya kiungu. Inaweza pia wasilisha kwa mwaliko wa malaika, kupitia ndoto na maono, au kupitia kipawa cha unabii cha kiungu,ama ndimi na utafsiri wake.

Hekima inahusu siku zijazo.

Baadhi ya maandiko katika bililia ni kama yafuatayo:

  1. Kuonya na kuelekeza watu kuhusu ukumu ijayo na maafa. ( Mwanzo 6:13-22, na Mungu akamwambia Nuhu......)

  1. Kudhihirisha mpango wa Mungu kwa wale ambao atawatumia. ( Mwanzo 41:16, 28-41, Pharaoh – Joseph)

  1. Kuhakikishia mtumishi wa Mungu jukumu lake la kiungu. ( Kutoka 3:10, Musa alipotumwa kwa Pharaoh.)

  1. Kudhihirisha maagizo sahihi na jinsi ya kuabudu kiungu. ( Kutoka 25, Onyesho la jinsi hekalu litakavyo kuwa ladhihirishwa kwa Musa).

  1.  Uchanuzi wa pendelevu wa mungu kuhusu  neema kuu inayotolewa bure kwa wote.    ( Matendo ya mitume 10:9-16)

  1. Kuhakikisha ukombozi unayokuja katikati ya dhiki. ( Matendo ya mitume 27:24,
             Paulo usiogope! Ni lazima utasimama mbele ya Kaisari…)

7.      Kutoa hakikisho  ya baraka zijazo. ( Mwanzo 23: 10-15 )

Katika nyakati hizi:

   A. Neno la hekima huonya kuhusu hatari inayokaribia.

 Ushuhuda:
Binti mmoja aruhusu jambazi kwenye gari lake.
Ilifanyika katika magharibi mwa Denmark. Dada huyu Mkristo, alikuwa njiani kuelekea mahali pake pa kazi, akambeba mtu aliyesimama kando ya barara. Punde tu, mtu huyo alipoingia kwenye gari, dada alihisi moyoni mwake onyo kwamba kuna hatari inakaribia. Mwishowe aliuliza yule mtu atoke ili ampanguzie kioo cha nyuma ya gari lake, Kisha dada huyo akaonda na kumwacha mtu yule. Alipofika kazini, akapata mfuko chini ya gari lake na ndani yake kulikuwa na bunduki lililotiwa risasi. Hapo ndipo alipogundua mungu amemuepusha kutokana na hatari kubwa ambayo hangeweza fikiria nini kingetokea. Basi alikabidhi polisi bunduki hilo. Mungu huonya wanawe wakati mwingine kupitia neno la hekima.    


B. Kutambulisha au kudhibitisha wito wa umishionari.

Ushuhuda:
Wito wa umishionari kwa Axel Jensen katika Zion Oelgod, Denmark:
Mmoja wa wazee Asimulia kuhusu tukio lilitokea hapa kanisani kwetu katika siku za kale. Katika jumapili moja asubuhi, Mbaba mmoja na mwanawe ( kijana mdogo ) walikuwa wanasafafiri kwenye gari la moshi. Walipofika kituo cha oelgod, ilikuwa masaa za ibada, waliamua kutua kidogo wahudhurie ibada kasha baadaye waendelee na safari yao. Mhubiri wa jumapili hii akatoa unabii. Ujumbe ulikuwa mwito kwa kijana huyo mdogo, mwito wa kufanyika mmishionari. Jina lake ni Axel Jensen. Miaka mingi baada ya tukio hili akawa mmishionari aliyejulikana sana Afrika na baadaye China.
 Roho mtakatifu anajua moyo wa mwanadamu, hata kwa kijana mdogo kama huyu. Katika kipawa cha unabii na neno la hekima kupitia kwa roho mtakatifu ukatoa maagizo na kudhihirisha mpango wa Mungu katika siku zijaso  kwa kijana mdogo.


C. Kudhihirisha siku za usoni.

D. Kutoa maelekezo kwa mtu binafsi.


6.Kupambanua miroho.

Utumizi wa vipawa vya roho katika nyakati hizi ni sawa na vile ilivyo kwenye bibilia:

1. Kusaidia katika ukombozi kwa walio teseka, gandamizwa na kuadhibiwa. ( Mariko 5:5, ”Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaaza sauti na kujikatakata kwa mawe.”

Miroho michafu yaweza kusabisha uasimu, udhaifu na maelfu ya magonjwa mbali mbali.

2. Kutambua mtumishi wa shatani. ( Matendo ya mitume 13:9-10,
“Basi, Saulo ambaye aliitwa pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alimkodolea macho huyo mchawi, akasema, "Mdanganyifu wa kupindukia na mlaghai wewe! Wewe ni mtoto wa Ibilisi! Wewe ni adui wa chochote kile kilicho cha kweli; hukomi hata mara moja kujaribu kuzipotosha njia za Bwana zilizonyoka“

3. Kusaidia katika kuangalia mipango ya mwaribivu.( Matendo ay Mitume 16:16) Paulo atambua roho ya uaguzi.)

4. Kuweka wazi makosa. ( mafundisho ya mapepo na laana zake.( 1 Tim 6:1, 2 Pet 2:1)

5. Kuweko wazi watenda-miujiza za kipepo.( 2 Tesalonike 2:9,Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo,”

7.(Vi)pawa vya uponyaji.
Huu ni uponyaji wa kipekee kupitia kwa Roho mtakatifu, bila matibabu wala ujuzi wowote ule wa kisayansi. Baadhi ya wakristo hupenda kusema:, ”Mungu pia hutumia madaktari.” Kwa hakika ndivyo, lakini SIYO kuhusu vipawa vya uponyaji, Roho mtakatifu PEKEE hufanya kazi hapa. Madaktari bado ni njia ya kiasili ya uponyaji.
Vipawa vya uponyaji hufaya kazi kwa imani na kwa kuwekea mikono kichani kwa muumini ama tu kwa kuamini maombi.
Imani:dhambi ya kutoamini haihusu kusindikana kwa uponyaji – bali inahusu dhambi ya kutoamini katika Yesu kristu mwana wa Mungu.
Vipawa vya uponyaji imeandikwa katika uwingi katika maandiko asili.
Ni kama ifuatavyo:
1.      Uponyaji wa magonjwa katika mwili.
2.      Uponyaji wa ulemavu.
3.      Uponyaji wa hisia, na kumbukumbu.
4.      Uponyaji wa akili, ukichaa na kadhalika
5.      Uponyaji kwa uweza wa miujiza.
6.      Uponyaji kwa kupakwa kwa mafuta.
7.      Uponyaji kupitia nguo uliopakwa mafuta.
8.      Uponyaji kupitia punguo.

Kwa kuongezea:
9.      Uponyaji wa kiasili kupitia nguvu za mwilini.
10.  Uponyaji kupitia kufunga.
11.  Uponyaji kupitia Mungu anapotuma neno lake la uponyaji, kama jibu kwa maombi. ( Zaburi 107:20 )

Uponyaji kupitia matibabu na upasuaji ni njia ya kiasili sio njia ya uponyaji wa kiungu.
Uponyaji kupitia kufunga sio uponyaji kutokana na vipawa vya uponyaji, bali ni kutumia njia ya uweza wa kiasili ya mwili kujitawasha na kujirejesha na hivyo uponyaji unafanyika.
Mifano katoka bibilia kwa ajili ya kufafanua zaidi:
a)      Kwanza kabisa, vipawa vya uponyaji unaleta ukombozi kutokana na magonjwa na kuharibu kazi za ibilisi mwilini mwa mwanadamu.
Matayo 8:2-4 ( Luka 5:12-16 ) Yesu aponya ukoma.
Matayo 9:1-8 ( Luka 5:17-26 ) Yesu aponya mtu kiwete ugonjwa wa mifupa.
Matayo 9:27-31. Vipovu wawili waponywa?
Matayo 14:34-36, Yesu akiponya wengi.
Matayo 9:18-26,( Mariko 5:21-43 ) Mwanamke aponywa ugonjwa wa damu.

b)      Uponyaji wa kiungu sio sawa na ukombozi kutokana na nguvu za giza.

Mifano ya uponyaji baada ya ukombozi kwa sababu nguvu za giza mara kwa mara husababisha aina nyingi ya magonjwa:
Matayo 9:32-34, bubu na aliyepagawa aponywa.
Matayo 15:21-28, Yes aponya mtoto mdogo msiria kutokana na nguvu za giza.
Matayo 17:14-21, kijana mwenye kichaa aponywa.
Luke 13:10-17, Mwanamke aliyefungwa na nguvu za giza awekwa huru.

c)      Kudhibitisha madai ya kushangaza za Yesu:
Yohana 10:37-38, Kama sifanyi kazi za Baba yangu msiniamini, Lakini ikiwa ninazifanya, hata kama hamniamini, walau ziaminini hizo kazi mpate kujua na kutambua kwamba Baba yuko ndani yangu, nami niko ndani yake."
d)      Kumamlakisha ujumbe wa habari njema ihubiriwayo na watumishi wa Mungu.

Wakati viwete wanatembea, vibovu wanaona, wagonjwa wanaponywa, mapepo yafukuzwa, yote katika jina la Yesu, kila mtu atajua kwamba Yesu hakika yu HAI, na alifufuka kutoka kwa wavu.
e)      Kuvuta watu waje kwa kristo, waje wasikie habari njema.
Kila mmoja ameona umati kubwa wakingoja mlangoni mwa mkutanoni wakingojea zamu   yao ya kupokea uponyaji, je, sio nguvu hizi za vipawa vya uponyaji inayo wa vutia kuja kuudhuria mkutano na wengi pamoja na wao?
f)       Kuresha watu kwa Mungu:
Peter akiwa Lydda. Matendo ya mitume 9:33-35, Huko alimkuta mtu mmoja aitwaye Enea ambaye kwa muda wa miaka minane alikuwa amelala kitandani kwa sababu alikuwa amepooza, v34Basi, Petro akamwambia, "Enea, Yesu Kristo anakuponya. Amka utandike kitanda chako." Enea akaamka mara.v35Wakazi wote wa Luda na Saroni walimwona Enea, na wote wakamgeukia Bwana.
g)      Kushawishi wasiomini kuhusu ukweli wa neon la Mungu.
Hakuna lililo la nguvu la kuvutia asiyeamini zaidi ya uponyaji wa kimiujiza, ambalo hauwezi kuikataa wala kuipuuza.
h)      Kuleta utukufu kwa Mungu, Halleluyah:
Na watu wakashangilia kwa ajili ya matendo matakatifu yalifanywa naye. Mariko 2:12, Luke 13-17.
i)        Kuinua imani na ushujaa katika watu wa Mungu:

Wakati mwinjilisti anapoombea wagonjwa kisha wakapona, wote tunainuliwa hadi kiwango kingine cha imani na tunahisi kutiwa ujasiri kufanya hivyo.

Upako wa mafuta ( Yakobo 5:14 ) sio kupitia kazi ya vipawa vya uponyaji kwa roho bali ni jawabu kutokana na kutii na pia kwa majibu ya kuamini katika maombi.
Wazee na wahudumu ndio wanajukumu la kutekeleza upako wa mafuta.
Mchungaji ndiye mkuu wa viongozi.
Kuwekelewa mikono sio tu kwa walio na vipawa vya Roho, bali nikitendo cha imani ya kila mmoja na kwa kila mmoja.
Ilhali upako wa mafuta ni kwa wale wagonjwa waaminio.
Kwanini sio wote huponywa?
Kulikuwa na watu wengi wagonjwa katika kizima cha Betsaida – ni mmoja tu aliponywa- na hiyo kwa mshindi wetu Yesu Kristo. Tunaweza waza kwamba Yesu ataponya wote lakini hakufanya hivyo, kwa ajili ya sababu isiyojulikani.
Imeandikwa: kwa sababu ya kutoamini kwao katika mji huo, yesu hakufanya muujiza yeyote ile ama kuponya. Matayo 13:58, “Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.”
Wakati mwingine kutosamehe ni sababu ya mtu kutopona ijapo maombi mengi yamefanywa.
Wakati mwingine kazi za miungu mingine (occult ) ina zuia uponyaji.
Wakati mwingine nadhiri iliyovunjwa ni kisuizi.
Wakati mwingine kutoamini maishani mwetu ndio sababu.
Wakati mwingine ibada ya sanamu (miungu mengine) imeharibu uhusiano wetu na Mungu.
Pengine wakati mwingi kutoamini tu ndio sababu, kupuuza neno la Mungu kama neno lililoandikwa.
Mahali ambapo haustahili kutafuta uponyaji:
(Zonetherapi – Acupunture – Hypnosis – Pendulum – Homeopathic – copper arm rings – means of protection against radiation from the underground – mesmerism – Wanaoponya bila kutumia jina la Yesu – uchawi – uganguzi mweupe na mweuzi – n. k ( samahani, maneno mengi hayaelezeki kwa kiswahili. )

MIUJIZA:
Maana: Muujiza ni njia ya kiungu inayodhihirishwa katika hali ya kawaida ya kiasili. Muujiza ni tendo la Roho wa Mungu. Ni kitanguo cha sheria za kawaida.
Haiwezi kuelezeka pasipo nguvu za Mungu. Kipawa cha muujiza ni kipawa cha nguvu.
Uponyaji wote mwilini mwa mwanadamu, ulemavu na kivunjo – hata uponyaji wa kitaalamu, unatokana na kipawa cha uponyaji, kwa sababu inatendeka ndani ya mwili. Hii haitakuwa utendaji wa miujiza.
Tofauti kati ya kipawa cha imani na kipawa cha miujiza ni : Miujiza hutendeka papo hapo na kwa njia ya kustaajabu ilhali, kipawa cha imanihufanya kazi kwa muda mrefu na sana sana sio la kustajabisha bali bado ni kipawa chenye nguvu kwa vipawa vyote.
Baadhi ya maandiko ya kipawa kinavyotumika:
Kipawa kilitumika kwa ukombozi wa kimuujiza kwa wana wa Mungu kutoka mkono ya adui.
Kutoka 14:16, Nawe inua fimbo yako, ukanyoshe mkono wako juu ya bahari, na kuigawanya; nao wana wa Israeli watapita kati ya bahari katika nchi kavu. Nao majeshi ya wamisri pia litaingia bahari mtakapopita nitasababisha maji yarudi pamoja na Jeshi la Farao lote litaangamia. Miujiza mengi yalitendeka hapa.
 Kuzaidia walio na hitaji.
Kutoka 14: Musa mara tena kainua fimbo na kugonga mwamba, na maji yakatiririka, mengi inayotosha kunywesha wanawaisreli milioni 1.5 jangwani. Hii ni ukumbusho kwetu kwamba Yesu ndiye mwamba wetu.
Mariko 6:36-37, Yesu afanya muujiza wa kulisha umati kubwa, kwa hakika ni muujiza.

Ushuhuda:
Ilitendeka kule China, Watoto waliokuwa na njaa walikuwa kwa maombi, biwi la ngano liliangushwa papo hapo kwenye watoto walikuwa wakiomba kwa Yehovah Jireh, kwa hakika ni jibu la kiajabu la maombi.

Kufanya uamuzi wa kiungu na nidhamu:
Tauni kumi za mizri zilikuwa miujiza kumi kutoa nidhamu, kumpa Farao nafasi ya mwisho ya kutubu na kuwapa watu wa Mungu uhuru wao wa kuondoka, lakini hakukubali, ilhali alipata nafasi ya mwisho.
Kudhibitisha neno lililo hubiriwa.
Matendo ya mitume 13:11-12, ni mafundisho ya nani yalikuwa kweli, Elymas ama Paulo, Muujiza ulifanya Elymas muofu, katika giza, kipofu kwa muda na maneno ya Paulo yakakubalika na kuaminika.
Kutuliza hali siziso epukika katika hali ya hatari.
Matayo 13:23, Yesu atuliza mawimbi katika bahari la Galilaya.
Kufufua walio kufa.
Kijana wa njane, Lazaro, Tabitha.
Kudhihirisha nguvu za Mungu na ukuu wake.
Fununu kuhusu Yesu akitenda miujiza ilifanya watu wamtukuze na wamheshimu Mungu.
John 4:48,  Yesu akamwambia, "Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!"
Luka 1:5, ububu wa Zachariah, Vs 64, Papo hapo midomo na ulimi wake Zakariya      vikafunguliwa, akawa anaongea akimsifu Mungu.
Katika maandiko kumejaa mifano mengi ya miujiza ya kiungu, hata leo waumini, wamishonari, mitume, wainjilisti waweza kushuhudia miujiza mengi yanayofanyika kwa -  utukufu wa Mungu.
Mahali ambapo haustahili kutafuta miujiza!
Uaguzi wa maji – Voodoo – Uchawi n.k.

KIPAWA CHA IMANI.
Kipawa cha imani ndio bado kipawa chenye nguvu kati ya vipawa zote tatu vya nguvu – kipawa cha uponyaji – kipawa cha muujiza – kipawa cha imani.
Kuna aina tofauti vya imani.
1)      Imani ya kuokoa. Aina hii hufanya kazi kabla ya mtu kuoka.
2)      Kuna pia imani asili; tunaamini kile ambacho tunasimuliwa kilitendeka katika kihistoria. Mkulima huamini kuna mavuno baada ya kupanda mbegu.
3)      Pia kuna imani kama tunda la Roho. Wagalatia 5:22, Imani ni tunda huleta tabia. Kipawa cha imani ni ya nguvu.

Imani kama tunda la Roho hukua, ( imani kama mbegu ya haradari ),  Imani kama kipawa ni kiwango fulani cha imani ambacho mtu hupewa mara moja. Iko tayari siku zote kutumika. Imani kama tunda hukua katika muumini, sio vile kwa kipawa cha imani, lakini inavyotumika zaidi ndivyo zaidi hupokelewa.
Imani cha kuokoa huja kabla ya mtu kuokoka.
Imani kama tunda huja baada ya mtu kuokoka.
Imani kama kipawa huja baa ya ubatizo katika Roho mtakatifu.
4)      Imani kama kipawa cha Roho mtakatifu, ni kiwango spesheli cha imani inayo pokekelewa kutoka kwa Mungu moja kwa moja. Ni imani ya Mungu.

Kipawa cha imani ni tofauti na kipawa cha muujiza kwa sababu; kipawa cha miujiuzi inaonekana ila haijatulia bali kipawa cha imani kimetulia na kinafanya kazi kwa mda mrefu, hata hivyo huwa cha nguvu zaidi mwishoni.
Kipawa cha imani ni chombo cha kiroho cha mhumini na mhuduma na ina,; baraka na laana, uumbaji na pia katika kubamoa, kuondoa ama kubadilisha hali, na mengine mengi.
Kipawa cha imani sana sana ni kitendo cha papo hapo, wakati mwingine cha kushangaza. Kipawa cha imani ni hatua inayoweza kufanyika kwa muda fulani lakini matokeo yake ni ya nguvu hata ingawa sio cha kuonekana.
Mwanzo 17:27, Isaka akibariki Yakobo ( Waebrania 11:20 )
Vipawa vyote tisa vya Roho vyafanya kazi kwa imani ( imani kama tunda la Roho ) hata kipawa cha imani inafanya kazi kwa imani( tunda la imani ), kama vile meli yote kubwa inaendeshwa kwa kutumia mafuta, sawa na malori.
Tunda la imani ndilo la muhimu machoni pa Mungu, ndio aina ya imani inayo heshimu Mungu na kufurahisha moyoni mwake. Kipawa cha imani haizai matunda kwa sababu ni imani ya Mungu mwenyewe inafanya kazi kupitia mtumishi wake.
Kipawa cha imani ni sehemu ya imani tunayokabidhiwa na Mungu, sehemu ya imani yake mwenyewe.Haikui kama tunda la imani bali inatiwa nguvu nalo.
Mifano kutoka maandiko:
Baraka za Miujiza 
Baraka za Isaka kwa Yakobo. Mwanzo 17:28, Waebrania 11:20.
Baraka za Yakobo kwa Ephraim na Manasseh
Unabii wa Nuhu kwa Cam ( laana pia inafanya kazi kwa imani )
Ulinzi katika nyakati za hatari
Danieli katika tundu la simba. Dan 6:17-23, Wahebrania 11:33
Paulo na nyoka. Matendo ya Mitume 18:5, Mariko 16:18.
Kuhifadhiwa kimujiza katika njaa na kwa kufunga.
Eliya katika kijito cha cherith. Kunguru walimletea nyama. 1 Wafalme  17:3-6
Mjane katika Zareptha. Unga na mafuta ilitosha hadi wakati mvua ilipoanza. 1 Wafalme 17:14-16.
Kupokea ahadi za Mungu za kustaajabisha.
Abrahamu hakuwa na shaka bali alikuwa na imani ya nguvu. Mwanzo 21:5, Warumi 4:20.
Kuadhibisha nidhamu ya kiroho kwa wanao kosa.
1 Wakorinto 5:1-5. Mtu aliyezini na mke wa babaye. Mwili wake ulikabidhiwa ibilisi na adhabu ya kiroho ukobadilisha maisha yake.
Elisha akiwazuia watoto wadhihaki. 2 Wafalme 11:2-3, 24.
Kwa ushindi wa kimujiza vitani.
Haruni na Hur wakishikilia mkono wa Musa. Kutoka 17:11
Kusaidia katika shida za kinyumbani na pia shinda kubwa kubwa.
Mwanamke mmaskini alipiwa deni zake kupitia kwa kipawa cha imani.2 Wafalme 4:1-7.
Kufufua wafu.
Hapa, vipawa zaidi ya moja inafanya kazi. Vipawa vya Roho wakati mwingine vinahusika pamoja. Kipawa cha uponyaji na kipawa cha kutenda miujiza vyaweza kuhusika pia katika kufufua wafu. Lazaro alikuwa mgonjwa na alipofufuliwa akawa mzima.
Pia imani ni kipawa kinacho tumika katika kutoa mapepo.
Imani kama kipawa na kubambanua miroho huweza kufanya kazi pamoja hapa.
Kuna mifano nyingi katika bibilia na hata sasa hii inatendeka kwa wahuduma wengi na wahumini pia.
Shetani na miroho ya kufisidi huiga vipawa zote tisa vya Roho mtakatifu. Kuna roho mchafu nyuma ya kila ibada isiyo ya kiungu.
Baadhi ya mapepo huiga vipawa vya Roho mtakatifu ni kama yafuatayo;
( Clairvoyance, familiar spirits, crystal ball, fortune telling, horoscopes, black magic, voodoo, witchcraft, water divination, spell, hypnosis, n.k ) Samahani kiswahili hakitafsiri sawasawa hapa ).

7.Roho Mtakatifu na makao yake:
Tazama pia, Wana wa Mungu, kanisa,( mwili wa Kristo ) na moyo.
Miili yetu ni hekalu ya Roho Mtakatifu. 1 Wakorinto 3:16, Je, hamjui kuwa, miili yenu ni hekalu…
Roho mtakatifu anaishi ndani yetu. Warumi 8:11, Ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Kristo kutoka wafu anaishi ndani yenu, basi huyo aliyemfufua Kristo kutoka wafu ataipa uzima miili yenu yenye hali ya kufa; atafanya hivyo kwa njia ya Roho wake AKKYE NDANI YENU.
MUNGU yuaishi ndani yetu kupitia kwa Roho. Waefeso 8:11, Katika kuungana naye, ninyi pia mnajengwa pamoja na wote wengine, muwe makao ya Mungu kwa njia ya Roho wake.
8.      Roho Mtakatifu na pingamizi za Roho Mtakatifu. Kukufuru Roho Mtakatifu:
Tazama pia: Ulimwengu, shetani, uofu, kutoamini, uongo, utu, Kuvunjika moyo
a).Pingamizi kwa Roho Mtakatifu:
Matendo ya Mitume 7:51,Enyi wakaidi wakuu! Mioyo na masikio yenu ni kama ya watu wa mataifa. Ninyi ni kama baba zenu. Siku zote mnampinga Roho Mtakatifu.
b).Kuhuzunisha Roho mtakatifu.
Waefeso 4:30, Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba ninyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni.

9. Ubatizo katika Roho Mtakatifu.
Luke 3:16,….Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Matendo ya mitume 1:5,…. Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu."
Matendo ya mitume 2:4,.. Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema LUGHA MBALIMBALI kadiri Roho alivyowawezesha.
Matendo ya mitume 2:38,.. Tubuni na kila mmoja wenu abatizwe kwa jina la Yesu Kristo ili mpate kuondolewa dhambi zenu na kupokea ile zawadi ya Roho Mtakatifu.
10.Roho mtakatifu na kanisa.
Matendo ya mitume 4:31,Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.
Matendo ya Mitume 9:31, Wakati huo kanisa likawa na amani popote katika Yudea, Galilaya, na Samaria. Lilijengwa na kukua katika kumcha Bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na Roho Mtakatifu.
M. ya mitume 15:28, Watume walitii  Roho mtakatifu.
Warumi 8:9,…. Yeyote asiye na Roho wa Kristo, huyo si wake Kristo.
M. ya mitume 10:47, "Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi wenyewe tulivyompokea. Je, kuna yeyote atakayeweza kuwazuia wasibatizwe kwa maji?"
11.Roho mtakatifu na vipawa, utawala wa kiungu juu ya sheria za kiasili, uweza, afya, egemio na uchukuzi.
a). Utawala wa kiajabu juu ya sheria za asili. 2 Wafalme 6:6.
b). Nguvu za kiajabu. Waamuzi 14:6, 16:3.
c). Afya na egemeo la kiajabu. Kumbu kumbu la torati 8:4.
d). Uchukuzi isiyo ya kawaida. M. ya mitume 8:39-40.
12.Roho mtakatifu na dhambi isiyosameheka:
a).Ukufuru wa Roho mtakatifu. Matayo 12:31, Kwa sababu hiyo, nawaambieni, watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote, lakini hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu.
b).Kudanganya Roho mtakatifu. M. ya mitume 5:3,9,10. Ms 3,mbona Shetani ameuingia moyo wako na kukufanya umdanganye Roho Mtakatifu…..Ms 5, Anania aliposikia hayo, akaanguka chini, akafa……
13.Roho mtakatifu kama mwalimu na muombolezaji:
a). Roho mtakatifu hufundisha. 1. Wakorinto 2:13, Basi sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa kwa hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo Roho.
b). Hufundisha wanafunzi kila kitu. Yohana 14:26, lakini Msaidizi, Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisheni kila kitu na kuwakumbusheni yote niliyowaambieni
14.Roho mtakatifu dhamira ya dhambi:
a).Dhibitisho la dhambi. Yohana 16:8, Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu.
Roho mtakatifu ndiyo tu pekee awezawe kushawishi mtu kutoka dhambini. Dhamira ya mtu ni sehemu ya roho ya mtu. Roho mtakatifu hushawishi mtu kupitia DHAMIRA yake. Hatua ya kushawishi kutoka dhambini ni hakika kupitia Roho mtakatifu – kwa neema ya Mungu.

15.Roho mtakatifu na huduma.
Huduma inahusika pia na – uadimishaji wa vipawa vya Roho mtakatifu.
Huduma zatiwa upako wa Roho mtakatifu.
Roho mtakatifu huongoza kila huduma iliyo ya haki.
Mhuduma ndani yake ni makao ya Roho mtakatifu.
1 Cor 12:28 Mungu ameweka katika kanisa: kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu; kisha ameweka wale wenye kipaji cha kufanya miujiza, kuponya, kusaidia; viongozi na wenye kusema lugha ngeni.
A). Mtume. Kigiriki: apostolos=”kutumwa” ( na Kristo ) pia ya maanisha kumamlakishwa na Kristo.
B). Nabii. Kigiriki: prophetes, inamaanisha “wito ama kutangaza mapenzi ya Kiungu.”.Hivyo ndivyo Yahweh asema”.Kwa ujumla, twaweza kusema wanabii ni waume na wanawake wanaopokea maono ama ndoto za kiungu ( kupitia uwezo wa Roho mtakatifu) ambayo wanapitisha kwa umati kwa usemi ama kwa vitendo.
C). Muinjilisti. Kigiriki: Euaggelistes=anaye tangaza habari njema.
D). Mchungaji. Kwa kigiriki maneno 3 ya viongozi wa kanisa imetajwa: Episkopos=Askovu, Poimen=Mchungaji( anayeshughulikia kondoo), Prebyteros=Wazee( katika uwingi kwa agano jibya).
E). Mwalimu. Kigiriki:Didaskalos=mwalimu.
F). Huduma ya usaidizi. ( Kipawa katika kuadimisha).
G). Huduma ya utawala. ( Kipawa katika upangaji ).
H). Shemasi. Kigiriki: Diakonos=Yule ambaye aliyepewa jukumu ya kuhuduma kwenye meza, karamu ya upendo.
I). Wazee. Kigiriki=elders, sio huduma bali ni ofisi maalum kanisani, pia aweza kusimamia huduma yeyote.
Tazama pia: Mafunzo katika huduma. ( The fivefold ministries).

16.Upako wa Roho Mtakatifu:
Luka 4:18-19, "Roho wa Bwana yu juu yangu, kwani amenipaka mafuta niwahubirie maskini Habari Njema. Amenituma niwatangazie mateka watapata uhuru, vipofu watapata kuona tena; amenituma niwakomboe wanaoonewa, Ms 19,na kutangaza mwaka wa neema ya Bwana."
Yesu kristu alitiwa mafuta katika njia spesheli kuhubiri. Upoka ni Roho mtakatifu JUU yake. Kila mhuduma wa bwana ametiwa mafuta kwa kiwango Fulani – Zaidi au kidogo. Yesu ndiye mpakwa mafuta kuliko wote. Upako utaonekana katika maisha ya mhuduma. Mhuduma anavyojihuzisha katika huduma ndivyo anavyokuwa na upako zaidi.
17.Ujazo wa Roho Mtakatifu:kujazwa na Roho mtakatifu:
Mbali na kubatizwa katika Roho mtakatifu, ujazo wa Roho mtakatifu ni HATUA. Vile ubatizo katika Roho mtakatifu hufanyika mara moja katika maisha ya mtu, ujazo yaweza kuwa mara kwa mara.Ni hatua. Kama vile Paulo amesema katika waefeso 5:18-19,… bali mjazwe katika Roho mtakatifu. Ms 19,Zungumzeni kwa maneno ya Zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Bwana nyimbo na zaburi kwa shukrani mioyoni mwenu.
Njia moja ya kujazwa na Roho mtakatifu ni KUABUDU katika nyimbo na maombi ya kuabudu na shukrani.
Waweza kuomba kujazwa zaidi na zaidi na Roho mtakatifu.
Dhihirisho ya kwamba umejazwa na Roho mtakatifu ni matunda ya roho inaanza kuonekana maishani mwako.
Tazama pia Ujazo wa Roho mtakatifu na (the 4 temperaments).
18.Roho mtakatifu na maombi ya uombezi:
Hutupa nguvu katika maombi. Warumi 8:26-27,Hali kadhalika, naye Roho anatusaidia katika udhaifu wetu. Maana hatujui inavyotupasa kuomba; lakini Roho mwenyewe anatuombea kwa Mungu kwa mlio wa huzuni usioelezeka.Ms 27, Naye Mungu aonaye mpaka ndani ya mioyo ya watu, anajua fikira ya huyo Roho; kwani huyo Roho huwaombea watu wa Mungu kufuatana na mapenzi ya Mungu.
19.Roho mtakatifu na ufufuo.
Toba itokanayo na kushawishiwa na Roho mtakatifu ndiyo njia ya kweli na ya kibibilia ya kuleta ufufuo, haijalishi iwe ni ufufuo kwa taifa ama kwa mtu binafsi. Kila ufufuo ulio halali hutokana na uweza wa Roho mtakatifu ndani ya Mtu. Ufufuo utokanayo na bidii ama uwezo wa mwanadamu haudumu mda mrefu na baadaye huleta mwanguko mkubwa wakati moto huo umepoa.
Kitabu cha Yoel pia ni cha ufufuo. Yoeli 2:23,….kwa kuwa yeye huwapa ninyi mvua ya masika,…na mvua ya vuli, kama kwanza.
Yoeli 2:28-29, Hata itakuwa, baada ya hayo,ya kwamba nitamimina Roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono; Ms 29,tena juu ya watumishi wenu waume kwa wanawake, katika siku zile, nitamimina roho yangu.
Mstari kuu ya ufufuo, ahadi ya Mungu ya UFUFUO kwa watu WAKE: 2 Mambo ya nyakati 7:14,…ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso wangu, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.

Matendo ya mitume 1:5, Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu."
Matendo ya mitume 1:8, Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia."
Kanisa la kwanza na ufufuo wa kwanza, msingi wake ulikuwa:
1)Ujazo wa roho mtakatifu,
2)Ubatizo wa roho mtakatifu na moto,
3)Kupokea nguvu za roho mtakatifu.
Huo ndio ulikuwa kielelezo ya mvua ya KWANZA.
Pendekezo ya Mungu kuhusu ufufuo haija badilika. Kielelezo ya mvua wa sasa(masika) ya ufufuo na kujengwa kwa kanisa, bado inatekelezwa katika roho mtakatifu kwa njia ile ile sawa na kielelezo ya “mvua ya kwanza” ufufuo, ile tu mvua wa ufufuo wa sasa, umwagikaji wa roho mtakatifu na moto na nguvu utakuwa ya kiwango cha juu kisicho onekana katika historia. Wakati mvua ya kwanza ulitolewa kwa kiasi, mvua ya sasa unamwagika kama mto. Yoeli 2:23-24.
Ufufuo hauji tu kwa kipindi fulani wala kutoka hewani. Pendekezo ya Mungu kuhusu matayarisho ya ufufuo haija badilika. Kitabu cha Yoeli, mnabii wa ufufuo, anakili: Yoeli 2:12-13, lakini hata sasa, asema BWANA, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea; Ms 13, rarueni mioyo yenu, wala si mavasi yenu, mkamrudie BWANA, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya.
Kufunga na kuomba na kutubu umekuwa usioepukika na chanzo cha matayarisho ya Ufufuo wa halali wa roho mtakatifu.
Tazama pia mafunzo kuhusu Kufunga: Kijitabu cha kufunga na kuomba.
Tazama pia: mafunzo kuhusu masharti za ufufuo, matayarisho ya ufufuo.
Tazama pia: mafunzo kanuni za ufufuo.

20.Roho mtakatifu na utukufu wa Mungu, ( Shekinah, Kabod, Gloria.)
Utukufu Wa Mungu Yahweh.
Yohana 17:22, Mimi nimewapa utukufu uleule ulionipa mimi, ili wawe kitu kimoja kama nasi tulivyo mmoja;
Yesu atawapa utukufu wake waliokombolewa.
Matendo ya mitume 7:55, Lakini Stefano akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akatazama juu mbinguni, akauona utukufu wa Mungu na Yesu amekaa upande wa kulia wa Mungu.
Stefano, katika dakika zake za mwisho, kabla hajauwawa na wayahudi, aliona utukufu wa Mungu JUU mbinguni.
Musa pamoja na wana wa israeli, pia waliona utukufu wa Mungu na macho yao.
Kutoka 16:7, 10.
Ms. 7, na asubuhi ndipo mtakapoona utukufu wa BWANA; na sisi tu nani, hata mkatunung´unikia?......
Ms. 10, Ilikuwa Haruni aliponena na huo mkutano wote wa wana wa Israeli, wakaangalia upande wa bara, na tazama, utukufu wa BWANA ukaonekana katika hilo wingu.
Kutoka 40:34-35:
Ms. 34, Ndipo lile wingu likaifunikiza hema ya kukutania, na huo utukufu wa BWANA ukaijaza maskani.
Ms. 35, Wala Musa hakuweza kuliingia hema la kukutania, kwa sababu lile wingu lilikaa juu yake, na huo utukufu wa BWANA ukaijaza maskani.
Tazama pia, Kutoka 29:43. Mambo ya walawi 9:4,6,23. Hesabu 14:10, 16. Hesabu 16:19,42.
Hesabu 20:6.
1 Wafalme 8:10-11.
Ms.10, Ikawa, makuhani walipotoka katika patakatifu, nyumba ya BWANA ikajaa wingu.
Ms.11, hata makuhani hawakuweza kusimama ili kufanya huduma yao, kwa sababu ya wingu lile; kwa kuwa nyumba ya BWANA ilikuwa imejaa utukufu wa BWANA.
2 Mambo ya nyakati 5:11-14:
Ms.11, Ikawa, makuhani walipotoka katika patakatifu,.......
Ms.12, tena walawi waimbaji, wote pia, yaani Asafu, na Hemani, na Yeduthuni, na wana wao,na ndugu zao, hali wamevaa kitani safi, wenye matoaazi na vinanda na vinubi......
Ms.13, hata ikawa, wenye panda na waimbaji walipokuwa kama mmoja, wakisikizisha sauti moja ya kumsifu na kumshukuru BWANA nao wakipasa sauti pamoja na panda na matoazi na vinanda, wakimsifu BWANA, wakisema, kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele; ndipo nyumba ikajawa na wingu, naam, nyumba ya BWANA.
Ms.14, hata makuhani hawakuweza kusimama ili kufanya huduma yao, kwa sababu ya wingu lile; kwa kuwa nyumba ya BWANA ilikuwa imejaa utukufu wa BWANA.
2 Mambo ya nyakati 7:1-2:
Ms. 1, Basi Suleimani alipokwisha maombi hayo, moto ukashuka kutoka mbinguni, ukateketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu; utukufu wa BWANA ukajaza nyumba.
Ms. 2, wala makuhani hawakuweza kuingia nyumbani mwa BWANA, kwa sababu kwa kuwa utukufu wa BWANA umeijaza nyumba ya BWANA.
Isaya 58:8:
Ms. 8, Ndipo nuru yako itakapopambazuka kama asubuhi, na afya yako itatokea mara; na haki yako itakutangulia; utukufu wa BWANA utakufuata nyuma ukulinde.
Isaya 59:19:
Ms. 19, Basi, wataliogopa jina la BWANA toka magharibi, na utukufu wake toka maawio ya jua; maana yeye atakuja kama mkondo wa mto ufurikao, uendeshwao kwa pumzi ya BWANA.
Utukufu wa BWANA ni – Roho wa BWANA!
Isaya 60:1-3:
Ms. 1,Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa BWANA umekuzukia.
Ms. 2, Maana, tazama, giza litafunika dunia, na giza kuu litazifunika kabila za watu; Bali BWANA atakuzukia wewe, Na utukufu wake utaonekana juu yako.
Ms. 3, Na mataifa wataijilia nuru yako, na wafalme kkjia mwanga wa kuzuka kwako.
Ezekiel 3:23, Basi, nikaondoka, nikaenda uwandani, na tazama, utukufu wa BWANA ulisimama huko, kama utukufu ule niliouona karibu na mto Kebari; nami nikaanguka kifudifudi.
Ezekieli aliuona utukufu wa Bwana:
Ezekieli 1:28, Kama kuonekana kwa upinde wa mvua, ulio katika mawingu siku ya mvua, ndivyo kulivyokuwa kuonekana kwa mwangaza ule pande zote. Ndivyo kulivyokuwa kuonekana kwake mfano huo wa utukufu wa BWANA.
Ezekieli 8:4, Na tazama, huo utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwapo hapo, sawasawa na maono yale niliyoyaona katika uwanda.
Ezekieli 10:4, Utukufu wa BWANA ukapaa kutoka kwa kerubi yule, ukasimama juu ya kizingiti cha nyumba; nayo nyumba ikajazwa na lile wingu, na ua ulikuwa umejaa mwangaza wa utukufu wa BWANA.
Ezekieli 43:2, 4,5
Ms 2, na tazama, huo utukufu wa Mungu wa Israeli ulitokea kwa njia ya mashariki; na sauti yake ilikuwa kama mshindo wa maji mengi, nayo nchi iling,aakwa utukufu wake.
Ms.4, Na huo utukufu wa BWANA ukaingia ndani ya nyumba, kwa njia ya lango lile lielekealo upande wa mashariki.
Ms. 5, Kisha Roho ikaniinua, ikanichukua mpaka ua wa ndani; na tazama, utukufu wa BWANA uliijaza nyumba.
Ezekieli 44:4, Kisha akanileta, kwa njia ya lango la upande wa kaskazini, mbele ya nyumba; nikaangalia, na tazama, huo utukufu wa BWANA uliijaza nyumba ya BWANA, nikaanguka kifudifudi.
Maandiko katika agano jipya kuhusu utukufu wa Mungu:
Matayo 17:1-6, Ms.1,Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohane nduguye, akaenda nao peke yao juu ya mlima mrefu.Ms.2,Huko, wakiwa wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang`aa kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama nuru. Ms.3, Mose na Eliya wakawatokea, wakawa wanazungumza naye. Ms.4, Hapo Petro akamwambia Yesu, "Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa! Ukipenda nitajenga vibanda vitatu: kimoja chako, kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya." Ms.5, Alipokuwa bado anasema hivyo, wingu jeupe likawafunika, na sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu: "Huyu ni Mwanangu mpendwa, ninayependezwa naye, msikilizeni." Ms.6,Wanafunzi waliposikia hivyo wakaanguka kifudifudi, wakaogopa sana.
Katika kitabu cha Luka tunasoma kwa wafuasi waliingia katika mawingu. Lk 9:34.
Luka 2:8-9,Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.Ms.9, Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana.
Utukufu ulingáa, na wakaweza kuiona na macho yao.
Stefano ahubiria wayahudi:
Matendo ya Mitume 7:2, Naye Stefano akasema, "Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! Mungu alimtokea baba yetu Abrahamu alipokuwa kule Mesopotamia kabla hajaenda kukaa kule Harani.
Stefano aliuona utukufu wa Mungu!
Matendo ya Mitume 7:55, Lakini Stefano akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akatazama juu mbinguni, akauona utukufu wa Mungu na Yesu amekaa upande wa kulia wa Mungu.
Matendo ya Mitume 9:3-4, Lakini alipokuwa njiani karibu kufika Damasko, ghafla mwanga kutoka angani ulimwangazia pande zote.Ms.4, Akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: "Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?"
Tazama jinsi Saulo alivyoielezea wakati alipoilinganisha tukio hili na  hali zingi mbili baadaye:
Matendo ya mitume 22:6, 11,…Ms. 6,.. Basi, nilipokuwa njiani karibu kufika Damasko, yapata saa sita mchana, mwangu mkubwa kutoka mbinguni ulitokea ghafla ukaniangazia pande zote. Ms. 11,.. Kutokana na ule mwanga mkali sikuweza kuona na hivyo iliwabidi wale wenzangu kuniongoza kwa kunishika mkono mpaka nikafika Damasko
Matendo ya Mitume 26:13-14, Mheshimiwa, wakati nilipokuwa njiani, saa sita mchana, niliona mwanga mkubwa kuliko wa jua ukiangaza kutoka mbinguni, ukanizunguka mimi na wale wasafiri wenzangu.Ms.14,..Sisi sote tulianguka chini, nami nikasikia sauti ikiniambia kwa Kiebrania: `Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa? Unajiumiza bure kama punda anayepiga teke fimbo ya bwana wake.`
Utukufu wa bwana ni Roho wa Bwana:
Warumi 6:4, Tulipobatizwa tuliungana na kifo chake, tukazikwa pamoja naye, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka wafu kwa kitendo kitukufu cha Baba, sisi pia tuweze kuishi maisha mapya.
“Utukufu wa baba” ni nini?.

Warumi 8:11, Ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Kristo kutoka wafu anaishi ndani yenu, basi huyo aliyemfufua Kristo kutoka wafu ataipa uzima miili yenu yenye hali ya kufa; atafanya hivyo kwa njia ya Roho wake akaaye ndani yenu.
Ufunuo 15:8, Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu, na hakuna mtu aliyeweza kuingia Hekaluni mpaka mwisho wa mabaa makubwa saba ya wale malaika saba.
Ufunuo 21:23, Mji huo hauhitaji jua wala mwezi kuangazia, maana utukufu wa Mungu huuangazia, na taa yake ni yule Mwanakondoo.
Tazama vile neno la Mungu linaelezea Neno la Mungu kama: wingu, mwangaza, mwanga, ng,aa, moshi na Roho wa Mungu, ijapokuwa utukufu wa Mungu kwa hakika haielezeki.
Daudi alisema kwamba mwishowe Mungu atampokea katika utukufu:
Zaburi 73:24, Utaniongoza kwa shauri lako, Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.
Tunafahamu nakala ya Petero kuhusu unabii wa Yoeli wakati wa pentekote:
Matendo ya mitume 2:17-18, `Katika siku zile za mwisho, asema Bwana, nitawamiminia binadamu wote Roho wangu. Watoto wenu, wanaume kwa wanawake, watautangaza ujumbe wangu; vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.Ms.18, Naam, hata watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, nitawamiminia Roho wangu, siku zile, nao watautangaza ujumbe wangu.
Lakini tazama kile aliendelea kusema:
Matendo ya mitume 2:19, Nitatenda miujiza juu angani, na ishara chini duniani; kutakuwa na damu, moto na moshi mzito;
Wengine wanatafsiri hii kama bomu zinazoanguka duniani, lakini siyo hivi bwana aongea juu yake, Anatangaza UMWAGIKAJI wa ROHO WAKE na UTUKUFU.
Damu! – Damu ya Yesu.
Moto! – Moto wa Roho mtakatifu! Ndimi za moto zikashuka na kukaa juu ya kila mmoja wao.
Yesu alipaa mawinguni, ambayo ni wingu wa utukufu.
Matendo ya mitume 1:9, Baada ya kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, alichukuliwa mbinguni; WINGU LIKAMFICHA wasimwone tena.
Yesu atarudi duniani akishuka kutoka wingu wa utukufu.
Matendo ya mitume 1:11,…. wakasema, "Enyi wananchi wa Galilaya! Mbona mnasimama mkitazama angani? Yesu huyu ambaye amechukuliwa kutoka kwenu kwenda mbinguni atakuja tena namna hiyohiyo mliivyomwona akienda mbinguni."
Mungu mwenyewe, utukufu wake unangáa ndani ya mioyo yetu.
2 Wakorintho 4:6-7,  Mungu ambaye alisema, "Mwanga na uangaze kutoka gizani," ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia mwanga wa ujuzi wa utukufu wa Mungu uangazao katika uso wa Kristo. Ms.7, Basi, sisi tulio na hazina hii tuko tu kama vyombo vya udongo, ili ionekane wazi kwamba nguvu hiyo kuu yatoka kwa Mungu wala si kwetu sisi wenyewe.
Mambo mengine makuu yalikuwa ya kuvutia kama nuru ya ajabu ndani ya mioyo zao.

21.Roho Mtakatifu na matunda ya Roho mtakatifu:
·        Wagalatia 5:22-23, matunda ya Roho mtakatifu.
·        Wagalatia 5:19-21, matendo ya mwili.
·        Tabia – aina 4, ( the 4 temperaments )
A).Wagalatia 5:22-23, Lakini matokeo ya kuongozwa na Roho ni mapendo, furaha, amani, uvumilivu, wema, fadhili, uaminifu, Ms 23,upole na kuwa na kiasi. Hakuna Sheria inayoweza kupinga mambo hayo.
Matunda ya Roho ndio hakika inayojalisha machoni pa Mungu. Matunda haya ndani ya maisha yako hujenga tabia ya kweli, inakupa kibali cha mbinguni, na kukufanya kuwa kama Kristu.
Upendo – (Upendo wa kiungu unaotiririka ndani ya mioyo yetu kupitia kwa Roho )
Furaha – ( Raha ya bwana ndiyo nguvu yetu.)
Amani – ( Amani ya Mungu siyo ya ulimwengu )
Uvumilivu
Wema
Fadhili – ( Mungu ni fadhili)
Uaminifu – ( Uaminivu kama tunda la Roho )
Upole
Kiasi – ( adabu na kiasi kwa mtu binafsi)
B).Matunda na matendo ya mwili:
Wagalatia 5:19-21, Basi, matendo ya kidunia yanajulikana: uzinzi, uasherati, ufisadi; Ms. 20, kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, choyo, mabishano, mafarakano; Ms.21,husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine kama hayo.

Kinyume cha matunda ya Roho ni:
Upendo:    Kinyume cha upendo ni chuki, ubinafsi, majisifu. Kwa kawaida, kuna aina mbili  za nguvu au mvutu. UPENDO na KUJI-PENDA. Mungu NI upendo. Shetani ni mpinzani, Upenda wa kujipenda. Hiza ndizo nguvu zinazopingana mbinguni na hapa duniani. Mungu Yahweh ni mwenye enzi, NSHINDI, kwa sababu: Yohana 3:16, Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Furaha:         Kinyume cha furaha kama tunda la Roho ni: raha ya ulimwengu, tamaa ya ulimwengu, usherati, ulevi, madawa za kulevya nk.
Amani:          Kinyume cha amani ya Mungu ni: hofu, wasiwasi, walimwengu hawana amani, asema bwana. Isaya 48:22.
Uvumilifu:     Kinyume ni: Hasira, uasi, chuki.
Wema:          Kinyume ni: Moyo mgumu, hukumu, ubinafsi.
Fadhili:         Kinyume ni: uchoyo, mgumu( Mkono gamu),
Uaminifu:      Kinyume ni: kutoamini, uoga(hofu). Uoga ni kuamini shetani kuliko ahadi za Mungu katika bibilia.
Upole:           Kinyume ni: kiburi, ujeuri.
Kiasi:            Kinyume ni: ulafi, kukosa kiasi, kutowajibika kifedha, upungufu wa pesa wakati wote.

Tabia – ( The four temperaments )
a)      The phlegmatic
b)      The choleric
c)      The melancholy- ( usununo – kusononeka )
d)      The sanguine
( Samahani maneno mengine hayana utafsiri kwa kiswahili. )
Tazama pia funzo kuhusu: Temperaments na Roho Mtakatifu.

22. Roho Mtakatifu na ushawishi. Musiki, kuabudu katika Roho. Maandiko itokanayo kwa Roho mtakatifu:
a)Usanifu ( Inspired art )
Kutoka 31:3-5, nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya KAZI YA KILA AINA. Ms. 4, ili abuni kazi ya ustadi,kuwa fundi wa dhahabu, na wa fedha, na wa shaba, Ms. 5, na kukata vito kwa kutiwa mahali, na kuchora miti, na kufanya kazi ya ustadi iwayo yote.
Kutoka 28:3, Nawe utawambia watu wote wenye moyo wa hekima, niliowajaza na roho ya hekima wamfanyie Haruni mavazi ili kumtakasa anitumikie…….
b) Nyimbo zilizohuishwa na Roho mtakatifu:
1 Mambo ya nyakati 25:1-3, Tena Daudi na maakida wa jeshi wakatenga kwa utumishi baadhi ya wana wa Asafu, na wa Hemani, na wa Yeduthuni, watakaotabiri kwa vinubi na vinanda, na matoazi; …Ms 3, …walioamuriwa na baba yao Yeduthuni mwenye kinubi,aliyetabiri katika kumshukuru na kumsifu BWANA.
Waefeso 5:18-19, Acheni kulewa divai maana hiyo itawaangamiza, bali mjazwe Roho Mtakatifu. Ms 19,Zungumzeni kwa maneno ya Zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Bwana nyimbo na zaburi kwa shukrani mioyoni mwenu.
c) Ibada katika Roho:
Yohana 4:23-24, Lakini wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wanaoabudu kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu ya Roho; watu wanaomwabudu hivyo ndio Baba anaotaka. Ms 24, Mungu ni Roho, na watu wataweza tu kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake."
D)Maandiko kupitia Roho mtakatifu:
2 Timoteo 3:16. Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili,

23.Roho mtakatifu na miujiza( Mysticism), ukweli na za uongo(false)
2 Wakorinto 4:6-7, Mungu ambaye alisema, "Mwanga na uangaze kutoka gizani," ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia mwanga wa ujuzi wa utukufu wa Mungu uangazao katika uso wa Kristo.Ms 7,Basi, sisi tulio na hazina hii tuko tu kama vyombo vya udongo.....
Mysticism za uongo
Matendo yote ya ajabu ajabu, mwangaza inayoangaza isiyo ya kawaida inayohusika na dini zisizo za kikristo ni za uongo (FALSE)
2 Wakorinto 11:14,.....Wala si ajabu, maana hata Shetani mwenyewe hujisingizia kuwa malaika wa mwanga!
24. Njia saba za uongozo wa Roho Mtakatifu:
A. Kupitia utu wa ndani (the innerman)
Utu wa ndani = mwili – nafsi – roho yako iliyookoka – Roho mtakatifu aishiye ndani
Tunatumia siku zetu za maisha katika kiwango cha mawazo yetu, hali ya kiasili, na muda mchache tu katika hali ya kiroho. Lazima tujizoeshe kukaa katika roho. Inachukua muda na pia mazoezi kusikiliza sauti ya ndani ya roho, shahidi wa ndani.
1.      Uongozo kupitia utu wa ndani, roho yako.
-Kupitia hisia ( sauti ya ROHO):
-(Intuition) –( uongozo wa dio au la, kama Urim na Tummim katika kikundi cha wakuhani wakuu.
-Uongozo wa ndani(Taa ndogo inayoangaza ndani yako)
-Ushahidi wa ndani( kuhisi vizuri na amani moyoni – ama kusumbuka, unyonge ama kuhatarika moyoni.
2.      Uongozo kupitia maono na pia ndoto kutokana na Roho Mtakatifu.
3.      Uongozo kupitia unabii.
4.      Uongozo kupitia sauti ya kiungu.

Pointi hizo tatu za mwisho zote ni kwa vipawa vya Roho Mtakatifu.
5.      Uongozo kupitia neno la Mungu, ikiangazwa na Roho Mtakatifu.
6.      Uongozo kupitia hali ya maisha. ( Yona katika dhoruba )
7.      Uongozo kupitia matendo ya unabii, (Agabus mnabii, Ezekieli mnabii)
Matayo 18:16, ....Asipokusikia, chukua mtu mmoja au wawili pamoja nawe, ili kwa mawaidha ya mashahidi wawili au watatu, kila tatizo litatuliwe.
Dhibitisho la hakika ni kwa uongozo, wakati inakuja mara mbili ama tatu kuhusu jambo fulani.
Tena, kwa kawaida kuna muongozo kupitia hekima ya kiasili, hisia za kawaida. Inadhihirisha waziwazi nini la kufanya katika tukio fulani.
Usidhubutu kutafuta ushauri kupitia yafuatayo:
·        Kwenye miroho ndani ya glass.
·        Uenyemali (fortune telling)
·        Bilauri(crystal ball)
·        Horoscopes
·        Usoaji wa kadi
·        Mizani(pendulums)
·        Mwaaguzi(water diviner)
·        (Seances)
·        (Occult practice)
·        Ushirikina(superstition)
Yote haya ni mashauri kupitia roho mchafu ambalo kwa hakika litakupotosha.
Wapsykologia na mapsychiatrists hawawezi kutoa ushauri wa kiroho kwa sababu hawana imani kwamba  roho mtokatikatifu yuaishi ndani ya mtu wala hawaamini kwamba roho ya mauofu iko.
Ndoto zina huishwa kwa njia tatu;
1)      Kupitia kwa roho mtakatifu
2)      Kupitia kwa roho mchafu wa ibilisi
3)      Kupitia tukio la siku kwa siku, mara nyingi huja kwa njia tofauti zizizo eleweka.
Utabiri wa ndoto wa kweli hufanyika kupitia uweza wa roho mtakatifu. Ni halali kutumia akili za werevu ama ujuzi wa mwanadamu ni limuko na mwishowe mtu anaweze kuwa na roho ya uongo.
 Danieli alitabiri ndoto kwa sababu roho mtakatifu alikuwa NDANI  yake. Danieli 4:8-9.
Usiwaendee wasiomcha Mungu kwa mashauri kuhusu mambo ya kiroho wala ushauri kuhusu maisha yako na siku zako za usoni.

25. Roho Mtakatifu na huisho wa neno la Mungu.
2 Tim 3:16, Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, ( naye ni roho mtakatifu)….
Bibilia, ambayo ni neno la Mungu kupiti uweza wa roho mtakatifu, haibadiliki, kamilifu na ina dumu milele. Yesu ndiye nembo(muhuri) ya neno la Mungu.Yehovah Yahweh „ MIMI NDIYE“  mwenye enzi na ni wa milele.

26.Roho mtakatifu na Yesu Kristu kama mzaliwa wa pekee wa Mungu baba.
Mathayo 12:40,Jinsi Yona alivyokaa siku tatu kutwa kucha tumboni mwa nyangumi, ndivyo naye Mwana wa Mtu atakavyokaa ndani ya ardhi siku tatu kutwa kucha. (Hades-ufalme wa giza)
Jukumu ya roho mtakatifu kati ya msalaba na kiti cha enzi:
Yesu alipokelewa katika wafu  na Roho mtakatifu, kafufuka,akapaa juu enzini mwa mungu na akatukuka.
1 Petero 3:18:19,  Kwa maana Kristo mwenyewe alikufa kwa ajili ya dhambi zenu; alikufa mara moja tu na ikatosha, mtu mwema kwa ajili ya waovu, ili awapeleke ninyi kwa Mungu. Aliuawa kimwili lakini akafanywa hai kiroho;Ms.19,na kwa maisha yake ya kiroho alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni.(kaburini)
Katika nguvu za roho mtakatifu, Yesu alihuishwa baada ya kubeba dhambi ya wengi. Isayah 53:10-12
Katika nguvu za roho mtakatifuYesu alihubiri ujumbe wa wokovu kwa wote walioishi duniani na tokea mwanzo hadi wakati wa kifo chake kwa miaka 4000, hakika ndio mkutano wa ufifio mkubwa katika historia.
Warumi 8:29, …Maana hao aliowachagua tangu mwanzo, ndio aliowateua wapate kufanana na Mwanae, ili Mwana awe wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi.
Soma pia Zekariah 12:10.
Tazama pia somo kuhusu. Atonement.

27. Roho mtakatifu na manabii wa agano jibya:
Wanabii wote wa Agano jibya walifanya kazi katika uwezo na imizo ya roho mtakatifu.
Hannah pekee alitabiri kupitia roho ya uongo.Jeremiah 28:10,12,15.

28. Roho mtakatifu na hekalu.
Kinara cha mshumaa chenye sehemu saba katika hekula ni ishara ya roho mtakatifu na dhihisho zake.

29. Roho mtakatifu na ubatizo wa wa Roho mtakatifu na moto.
Luka 3:16,…..Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Matendo ya mitume 2:3-4, Kisha, vikatokea vitu vilivyoonekana kama ndimi za moto, vikagawanyika na kutua juu ya kila mmoja wao.,Ms 4, Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema lugha mbalimbali kadiri Roho alivyowawezesha.
Waebrania 1:7 (Zaburi 104:4)…. na watumishi wake kuwa ndimi za moto."
Yaonekana kwamba sehemu ya pili, za moto, wa uatizo katika roho na moto, mara nyingi huachwa nje.

30. Roho mtakatifu na kuhubiri injili.
a) Injili yahubiriwa kupitia Roho mtakatifu.1 Petero 1:12, …ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni Habari Njema KWA nguvu ya ROHO MTAKATIFU aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. Hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
b) Roho mtakatifu huubiri.Yohana 16:13-14,Lakini atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza kwenye ukweli wote; maana hatasema kwa mamlaka yake mwenyewe, bali atawaambieni yote atakayosikia, na atasema mambo yatakayokuwa yanakuja.Ms.14, Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawaambieni yale atakayopata kutoka kwangu.
31. Roho Mtakatifu na Mwanzo.
Mwanzo 1:2,….na Roho wa Mungu Yahweh ikatembea kwenye maji.
Mwanzo 1:26,kisha Mungu akasema,” NASI tumuumbe mwanadamu kwa sura YETU wenye…..
NASI na YETU  ni utatu wa Mungu baba.
Mungu baba, Mwana na Roho Mtakatifu walikuwa na walihusuka katika umbaji wa ulimwengu.

32.Roho Mtakatifu na silaha kamili, zilaha za kuangamiza na zilaha za
 Silaha kamilifu ya Mungu. Waefeso 6:11-18, Vaeni silaha anazowapeni Mungu mpate kuzipinga mbinu mbaya za Ibilisi.Ms,12. Maana vita vyenu si vita kati yetu na binadamu, bali ni vita dhidi ya jeshi ovu la ulimwengu wa roho; tunapigana na watawala, wakuu na wenye nguvu wanaomiliki ulimwengu huu wa giza.ms.13, Kwa sababu hiyo, vaeni silaha za Mungu ili siku ile itakapofika muweze kuyapinga mashambulio ya adui; na mkisha pigana mpaka mwisho, muwe bado thabiti.Ms.14, Basi, simameni imara! Ukweli uwe kama ukanda kiunoni mwenu, uadilifu uwe kama vazi la kujikinga kifuani,Ms.15, na hamu ya kutangaza Habari Njema ya amani iwe kama viatu miguuni mwenu.Ms.16, na hamu ya kutangaza Habari Njema ya amani iwe kama viatu miguuni mwenu.Ms.17, Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya chuma, na neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu.Ms.18, Salini daima, mkiomba msaada wa Mungu. Salini kila wakati kwa nguvu ya Roho. Kesheni bila kuchoka mkisali kwa ajili ya watu wote wa Mungu.

33. Roho Mtakatifu haweza kuzimwa(kukasirishwa).
1 Thesalonike 5:19, Msimpinge Roho Mtakatifu;

34. Roho Mtakatifu na nguvu za kiungu.
Samsoni. Waamuzi 14:5-6,….Simba akamghurumia, Ms.6, na Roho wa Mungu hukashuka kwa nguvu juu yake, akamrarua zimba simba kama vile angerarua mtoto na hakuwa na chochote mkononi…..

35.Roho Mtakatifu na kuzaliwa mara ya pili. (wokovu).
Yohana 3:5-6,…. Yesu akamjibu, "Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa kwa maji na Roho, hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu.Ms.6, Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.
Wokovu sio kwa kubatizwa kwa maji bali ni kwa kuzaliwa mara ya pili kwa roho.

36. Roho Mtakatifu na r oho ya mwanadamu.
Warumi 8:16, Naye Roho mwenyewe anajiunga na ROHO ZETU na kuthibitisha kwamba sisi ni watoto wa Mungu.
Kuna tofauti kati ya Roho Mtakatifu na Roho ya mwanadamu.

37.Roho Mtakatifu na umoja wa kweli.
Yohana 17:22, Mimi nimewapa utukufu uleule ulionipa mimi, ili wawe kitu kimoja kama nasi  tulivyo mmoja;
Umoja kanisani, umoja katika ya waumini, haipatikani kwa nguvu za mwanadamu, wala katika vyama na mtandao, haiwezi kuonekana katika hakili za mwanadamu lakini umoja wa kweli unatokana na Roho Mtakatifu katika mioyo ya waumini.

38.Roho Mtakatifu na Roho ya maombi.
Zakariah 12:10.Na nitamwaga juu ya nyumba ya Daudi, na wakaaji wa Yerusalemu, ROHO YA NEEMA NA MAOMBEZI; na watanitazamia mimi, ambaye walinichoma na watahuzunika.
Kumetolewa Kiwango specieli cha Roho ya neema na uombezi utakaomwa juu ya kanisa. Unabii inahusu wakati Yesu Kristo alisulubishwa na kuchomwa pavuni.
Yesu kristu, mwana wa pekee akafanyika mzaliwa wa kwanza kwa wandugu wote. Tazama pia 8:29.
Tazama pia mazama: Maombi ya muumini.

39.Roho Mtakatifu na kuabudu.
Yohana 4:23 Lakini wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wanaoabudu kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu ya ROHO; watu wanaomwabudu hivyo ndio Baba anaotaka.
Ibada ya kweli katika Roho Mtakatifu ni njia ya kweli ya kuonyesha upendo na utukufu kwa Mungu baba na mwana.Wakati umati wanaimba katika Roho, huimbaji wa zaburi hizo kwa Mungu, katika hivyo anamwabudu Mungu katika umoja. Tazama pia 1 Korinto 14:15. Nifanye nini, basi? Nitasali kwa roho yangu, nitasali pia kwa akili yangu; nitaimba kwa roho yangu, nitaimba pia kwa akili yangu.